Mpentecoste
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 283
- 319
Mtaala kuhusu financial education how to be free finacially.....mwalimu mmojawapo Ni Richard KIYOSAKI..RICH DAD POOR DAD anamadini makali Sana vitumike vitabu vyake....
Mada sake.
utajiri Ni Nini?
Umasikini Ni Nini?
Mbinu za kukuza kipato chako, nk
Hata DONARD TRUMP anamadini makali Sana kuhusu kufanikiwa kiuchumi.
Achana na motivation. Wafunfishe kwa mifano halisi
Na utajiri inapatikana katika biashara na uwekezaji
Mada sake.
utajiri Ni Nini?
Umasikini Ni Nini?
Mbinu za kukuza kipato chako, nk
Hata DONARD TRUMP anamadini makali Sana kuhusu kufanikiwa kiuchumi.
Achana na motivation. Wafunfishe kwa mifano halisi
Na utajiri inapatikana katika biashara na uwekezaji