Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu Hamza Johari amepiga kura katika eneo la llazo jijini Dodoma
Amepongeza Waandaaji na Waratibu wa Uchaguzi kwa mpangilio mzuri uliopo kwenye vituo unaofanya watu watumie muda mfupi katika zoezi la kupiga kura.
-
Snapinsta.app_video_F3499F8342FB8DA31E87B354834072BB_video_dashinit.mp4
5.5 MB