Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Mwanaume hana limitation ya kurudi nyumbani kwake. Muda atakao rudi ndio sahihi kwake.
Kama ni hivyo basi akubaliane na madhara yanayowapata watu watu wenye tabia ya kutembea usiku wa manane!! Ukiamua kuwa na Tania hatarishi, usishangae ukiangukia kwenye hatari na usilaumu mtu!!
 
Hivi una ubongo kweli?? Kwa hila zenu si mlimvunjia billicanas yke?? Ucku alikua anatembea na wewe, kwan kuna katazo la mwisho kutembea saa ngap??
 
Haya mambo tulishazoeaga Nchi zenye shidashida kama Burundi, Uganda, Rwanda huko naona taratibu yanabisha hodi Tanzania. Hii si nzuri kwa nchi ya Amani kama Tanzania
Mkuu you are not exceptional mkiongozwa na wanao endorse upuuzi mtafanyiwa upuuzi wazi wazi.
 

Dah kwa kweli Lissu si wa mchezo....jamaa anajuwa kulipiza kisasi kwa kweli.
 
Hali ya namna hii inaweza kumfanya Antipasi asirudi nchini,na hivyo kutoa mwanya kwa mwenye amafaranga mengi kuchukua nafasi yake.?
Hivi siasa ni biashara,inayokupasa uwe ni risk taker kweli?
 
Kama ni hivyo basi akubaliane na madhara yanayowapata watu watu wenye tabia ya kutembea usiku wa manane!! Ukiamua kuwa na Tania hatarishi, usishangae ukiangukia kwenye hatari na usilaumu mtu!!
Hovyoooooo
 
Analysis yako ipo vizuri na ina-make sense ukiondoa bias.
Siku Tundu Lissu anapigwa risasi, simulteneously RAIS Magufuli alikuwa akipokea taarifa NYETI ya kamati ya uchunguzi wa namna tunavoibiwa madini. (na kumbuka Tundu Lissu alikuwa mpinzani mkubwa wa namna serikali ilivokuwa inarekebisha mikataba mibovu ya madini)
Taarifa ile ilikuwa na a lot of BREAKING NEWS.
Lakini kuna watu walikaa wakaamua kuidestruct kwa kumvamia Lissu tena wakahakikisha wanafanya uhalifu huo mchana kweupe na katika mazingira yatakayoonesha serikali ndiyo inahusika.
Wenye akili wanajua HAKUNA intelligence ya serikali yeyote duniani inayoweza kufanya unyama ule huku ikihakikisha indicators zote zitapoint fingers kwake.
Lakini wale wahalifu walifanikiwa -kwanza kudestruct hoja ya Kamati ya madini, na pili walifanikiwa kuwaaminisha baadhi ya watu kuwa serikali ndiyo iliyomtungua Lissu.
 
Kama ni hivyo basi akubaliane na madhara yanayowapata watu watu wenye tabia ya kutembea usiku wa manane!! Ukiamua kuwa na Tania hatarishi, usishangae ukiangukia kwenye hatari na usilaumu mtu!!
Nasikia maeneo aliyo shambuliwa kuna ulinzi mkali sana sasa hapo ndipo inaleta utata kidogo.
 
we mpuuzi kaa kimy tu, hii ncbi tupo huru hata kutoka saa tisa usiku kwenda mahali popote kufanya chochote halali, hayo mambo ya kuhoji ni uminywaji wa uhuru,,,, yeyote aliefanya huu upuuzi ni yule yule aliemwagia lisu risasi,
Pumbavu kabisa! Yani mko huru mda wote alafu usiku unajifungia na makomeo kila kona?
Mwambieni Mbowe awe serious

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Sitashangaa kama mke wake atakuwa anatoa machozi ya mamba!! Kina mama wanajua!!
 
Bodyguard nae amepigwa au KUB hatembei na bodyguard? This is a wake-up call.
 
Kama CHADEMA hawakujifunza kutokana na yaliyomkuta Mh Lissu basi nina wasiwasi na mikakati yao! Yaani kwa Mh. Mbowe hadi sasa hivi na hakuna Mlinzi wala yeye hana walinzi na hata CCTV Camera hakuna? Hata ulinzi wake binafsi kama bastola, pilipili, manati....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…