Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Viongozi wa ccm na wabunge wao wasiruhusiwe kumuona Mbowe hospitalini
 
Watakamatwa na watajulikana, tena muda siyo mrefu! Natamani ningekuwa Polisi, na kama nisingebahatika kupangiwa kazi hii, basi ningeingia ofisini kwa bosi na kumuomba na mimi niwe mmoja wao!. Muda si mrefu nitarudi na kuja kuya-quote maandishi yangu haya.

Niliwahi kusema huko nyuma kuwa Sumaye na Lowassa watarudi CCM, na hatimaye walirudi kweli. Yaani hii issue mimi kabisa ninaiona kwa jicho la ki-Polisi na nisingependa kuongea mengi, isipokuwa swala hili ni la kisiasa lakini halijafanywa na wana-Siasa.
 
Wewe hata ujipendekeze vipi CCM hupati kitu, uliiba hela huku,na kigezo cha kabila lako pia ni kikwazo utasugua bench hadi matako yaote sugu huteuliwi ng'o
 
Hivi ukishakuwa mwanasiasa huwezi kuwa na ugomvi na watu wengine nje ya hii sphere hadi kila unapovamiwa, kupigwa au kufanyiwa fujo ionekane ni serikali ndo wahusika?
 
Uchaguzi wa 2020 kuna watu wengi watauliwa kikatili sana ni suala la muda tu.

Viongozi wa umma wameshayabariki haya kuwa ni mfumo rasmi wa uongozi wao.

Vyombo vya dola vimeshakubali Kuulea, na kuulinda huu mfumo mpya wa uongozi wa awamu ya tano.

Wananchi wameamua kumwachia Mungu tu liwalo na liwe na kujipa Faraja ya muda kuwa watamaliza muda wao wataondoka atakuja masihi mwingine ataturuudisha katika zama za utu.

Tutegemee nini katika utawala uliojitangaza rasmi kuwa hauna utu, licha ya kwamba unaongoza watu wenye nyama na roho ?

Basi tusubiri uchaguzi tuzike watu wetu watakaokuwa wamekatishwa maisha yao na wazalendo bandia chini ya usimamizi wa dola.
 
Vipi mgahawa wako Chakula mama ntiliee bado Unaendelea nao

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii kama siyo ya wapinzani ni ya nani ?

Inamaana katika nchi hii kuna wenye nchi na wasio na nchi.
 





Hawa mabaunsa wake walikuwa wapi?
 
Awe pole mweshimiwa, katika kipindi kama hiki wawe tayari kwa mengi ya namna hiyo na zaidi yake.
Liishalo ndio dogo kuliko linalokuja.
 
Wewe pia kwa kuchambua upande alochukua mwenzio nawe umeonesha upande wako.
 
Hii ni ishara kuwa hawa vijana wataua watu wengi kuelekea uchaguzi mkuu ujao
Your browser is not able to display this video.
 
Hao wanaoning´inia hapo ni walinzi toka Chadema, sio serikali, na yeye ndo mkuu Chadema, kwanini aliwaondoa? Kama anakaa ndani ya gari na dereva wakati wa korona, hao waliokuwa wananing´inia nje ya gari walishindwaje kuwepo?

Alafu kweli Serikali hii imuhofie Mbowe kufanya kampeni????

YAANI HII SERIKALI IKIAMUA KUSHINDA UCHAGUZI, Kampeni za Mbowe zinawahusu nini?

Maana kama ubabe ni wababe kweli, hata tukisema upinzani umeshinda, tume gani itakayowatangaza???

Hivi kwanini Chadema hawataki kukua?? Wanakera sana kwa kweli. Yaani kabisa wameshindwa mpaka leo kumsoma Mkulu na kumbunia mbinu za kupambana naye?

Au KUB anatafuta sababu ya kutohojiwa na TAKUKURU??
 
Ndio hayo yaliopangwa.
 
KWA MWENENDO HUU
NASHAURI WAWEKE LIT HATA WATU WA KWENDA KUANGALIA AIJALISHI ANA CHEO GANI MDASASA WAKUJILINDA NA YEYE PIA

WASIRUHUSU KILAPOYOYO KUINGIA ATALIAMAZIMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…