Jf Kennedy hakupigwa km mbowe alidunguliwa na sniper aliyekuwa juu ya ghorofa isingewezekana hata kidogo jfk kuvamiwa na kupigwa kwasababu ya ulinzi mzito aliokuwa nao mbowe alivamiwa na watu 3 wakampa kichapo that means walimshussha kutoka kwenye gari wakampa kelbu za maana swali ni je dereva wake alikuwa wapi? Walinzi wake je? Na inawezekana VP mbowe kutembea bila walinzi usiku wa manani?John Kennedy alivyokuwa assassinated hakuwa na walinzi ?
Akikujibu nitagJf Kennedy hakupigwa km mbowe alidunguliwa na sniper aliyekuwa juu ya ghorofa isingewezekana hata kidogo jfk kuvamiwa na kupigwa kwasababu ya ulinzi mzito aliokuwa nao mbowe alivamiwa na watu 3 wakampa kichapo that means walimshussha kutoka kwenye gari wakampa kelbu za maana swali ni je dereva wake alikuwa wapi? Walinzi wake je? Na inawezekana VP mbowe kutembea bila walinzi usiku wa manani?
Huna akiliHuyo Mbowe itakuwa kapigwa na wenzake tu wa CHADEMA baada ya kuonekana ku base upande mmoja wa Mgombea kutoka Chama Chake!!!
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.Chadema ni wapuuzi sana baada ya issue ya corona kubuma mmeanza mchezo wenu wa kujiteka,washenzi sana nyie,mtashindwa tu
We shall overcome. AMENMmh hizi si dalili nzuri kabisa kuelekea uchaguzi mkuu. Njia zote zimeshindikana sasa hii ya kuumizana ndio silaha yao ya mwisho iliyobaki. KUKICHWA KUTAMBAZUKA. WAKATI SI MILELE.
Jr[emoji769]
Yuko ikulu na ulinzi upo,sasa huyu yeye mzugaji tu.Na yule anaye lala na mafaili kule
Ona huu ujinga mwingine! Yani mtu unatembea mpaka usiku wa manane alafu huna walinzi kisa korona? Huko anakozungukia hakuna korona?"Hakuwa na walinzi maana waliondolewa kipindi cha sakata la Corona, sasa wakati anapanda ngazi wakashuka watu watatu wakamuambia wewe unaisumbua sana Serikali, sisi hatuna mpango wa kukuua ila tunataka tukuvunje ili ushindwe kufanya kampeni"
View attachment 1472942
Chanzo:EastAfricaRadio tweet
Kwani chadema si wana redbrigade? Wako wapi? Na kazi yao ni nini? Km wanashindwa kuwalinda viongozi wao? Unaanzaje kuomba ulinzi kwa watu unaodai hawakupendi na wanataka wakuue? Wakati unaomba huo ulinzi kwanini usijihami kwanza mwenyewe kuliko kusubiri?Sioni hoja yako ni ipi hapa, tatizo ni kutembea usiku au tatizo ni usalama mdogo wa viongozi wa upinzani? Maana kama tatizo ni kutembea usiku, Lisu yeye alishambuliwa mchana kweupe.
Na kama suala ni viongozi wa upinzani kuhitaji ulinzi kwa ajili ya usalama wao, basi Lisu ameomba zaidi ya mara moja ahakikishiwe usalama wake, lakini hakuna aliye tayari kumpa huo ulinzi. Wakati mwingine ndugu jiepushe na kutetea uovu, kwa sababu za kuungaunga.
Until we wake up and fight the fascist who is pretending to lead the country but infact leading a gang of lunatics. The fascist has now turned down the intelligency apparatus who were trained and groomed through Tanzania's tax payers sweat into brutal demonic gangs. Tanzanians should rise up now it is time to fight. I know no single person shall be arrested on this. It is time to doubt all the security system now. It is time to secure ourselves walk prudently have your weapon handy always.Tanzania’s leader of opposition in parliament attacked, beaten up, injured
9th June 2020
A group of unknown people have assailed, beaten up and injured the Leader of Opposition in Parliament in Tanzania, Freeman Mbowe, at his residence in Area D, Dodoma.
According to preliminary reports from Dodoma, Mbowe met his assailants on the steps of his flat this night, June 7, 2020., shortly before entering his residence.
“He didn’t manage to enter. They dragged him, threw him to the ground, and beat him up severely, warning him against criticising the president. Before neighbours came to his rescue, the damage has been done. He is in severe pain. One his legs has been badly twisted, and he fears it is broken,” a family source told SAUTI KUBWA. He was rushed to Benjamin William Mkapa Hospital.
Mbowe and other Members of Parliament are attending a parliamentary budget session in Dodoma City, two months before this year’s general election.
Under President Magufuli, Tanzania has been characterised by brutal and demagogic politics since he came to power in 2015. In September 2017, the opposition chief whip, Tundu Lissu, miraculously survived an assassination attempt by unknown people who shot at his car and injured him severely at his residence in Dodoma.
Source : Tanzania's leader of opposition in parliament attacked, beaten up, injured - Sauti Kubwa
Wewe kuamka kwako una nini cha kufanya??
Hawa wajuvi watakuja kulijngiza taifa kwenye machafukoUsiwasahau hawa hapa
Mbowe bhana, hivi hizi drama ni mpaka lini?Hawakuwepo.View attachment 1472910
Ndio hayo yaliopangwa.View attachment 1472937
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.Hakuna kitu hapo ni kiki tu
Yaleyale ya Lisu , kapigwa kushoto kavimba kulia!