mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Mleta mada anaonekana hajawahi kuwa na wazazi...Sigwaana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakaoleta machafuko sio watanzania wa kawaida ....Kwa uoga walionao watz hata siku moja hayatakuja kutokea machafuko
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.Yan Mbowe kuka nyangwa anasea ni magufuli huu ujinga sijui utaisha lin toka Lin magufuli AKA kanyaga watu??
Mleta mada anaonekana hajawahi kuwa na wazazi...Sigwaana!!
Siasa tu ,hata kama ni CDM au CCm au NSSR jamani Mbowe anawatoa roho wakati siasa ni homa.Akija Lissu mtamvunja shingo kwa kweli duuuu
MIT. 29:2 SUV
View attachment 1472626
View attachment 1472650
Salaam,
Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.
Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.
Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.
Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata
MAONI YANGU:
Mhe. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.
Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?
We need to wake up, better late than never.
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
MIT. 29:2 SUV
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua
View attachment 1472982
View attachment 1472626
View attachment 1472650
Salaam,
Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.
Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.
Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.
Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata
MAONI YANGU:
Mhe. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.
Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?
We need to wake up, better late than never.
Ametuma genge lake la Watu wasiojulikana BossKwaio yeye ndio Kam kanyaga mbowe?
Check paragraph no 1.!!of his story!!think the words!!Kwann?
Kwani chadema si wana redbrigade? Wako wapi? Na kazi yao ni nini? Km wanashindwa kuwalinda viongozi wao? Unaanzaje kuomba ulinzi kwa watu unaodai hawakupendi na wanataka wakuue? Wakati unaomba huo ulinzi kwanini usijihami kwanza mwenyewe kuliko kusubiri?
Check paragraph no 1.!!of his story!!think the words!!
Ametuma genge lake la Watu wasiojulikana Boss
Yani Lisu apatiwe ulinzi na selikali?
Hivi kila mtu akilalamika anatishiwa hiyo selikali itawapa ulinzi watu binafsi wangapi?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Kamuulize Mwenyekiti alituma wangapi?Kwaio hao watu walio tumwa ndio wame mkanyaga mbowe na je walikua wangap na vip wote wamemkanyaga?
Duh akili za watu wengine ata ukimwekea video hawezi kukuamini.Hizi aina za ubaguzi mbaya sana ..uwe wa rangi au itikadi....kuna watu pamoja na video ya yule jamaa mmarekani baado hawamini tu sawa na huyu mtoa hii maada hawezi kuamini