Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Yan Mbowe kuka nyangwa anasea ni magufuli huu ujinga sijui utaisha lin toka Lin magufuli AKA kanyaga watu??
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 
Watakata roho kabisa maana hiyo ni kwa hofu ya hotuba tu ya mh lissu
Siasa tu ,hata kama ni CDM au CCm au NSSR jamani Mbowe anawatoa roho wakati siasa ni homa.Akija Lissu mtamvunja shingo kwa kweli duuuu
 


View attachment 1472626
View attachment 1472650

Salaam,

Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.

Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.

Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.

Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata

MAONI YANGU:
Mhe. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.

Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?

We need to wake up, better late than never.
MIT. 29:2 SUV
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua
intro-1517489070.jpg
 
Kwaio yeye ndio Kam kanyaga mbowe?
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 


View attachment 1472626
View attachment 1472650

Salaam,

Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.

Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.

Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.

Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata

MAONI YANGU:
Mhe. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.

Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?

We need to wake up, better late than never.

Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, ametuma tena GENGE lake la Watu wasiojulikana. Sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 
Kwani chadema si wana redbrigade? Wako wapi? Na kazi yao ni nini? Km wanashindwa kuwalinda viongozi wao? Unaanzaje kuomba ulinzi kwa watu unaodai hawakupendi na wanataka wakuue? Wakati unaomba huo ulinzi kwanini usijihami kwanza mwenyewe kuliko kusubiri?

Unajua unaloongea? Cdm hawaombi hisani kulindwa bali ni haki yao, kwani wanaopaswa kuwalinda wanalipwa kwa kodi za umma. Inaonekana hujui lolote kuhusu elimu ya uraia, hivyo unadhani raia kupewa ulinzi na serikali ni hisani, na sio wajibu.
 
Huu mjadala ufungwe, hauna chochote cha maana zaidi ya sarakasi za kutaka kusikika!
 
Duh akili za watu wengine ata ukimwekea video hawezi kukuamini.Hizi aina za ubaguzi mbaya sana ..uwe wa rangi au itikadi....kuna watu pamoja na video ya yule jamaa mmarekani baado hawamini tu sawa na huyu mtoa hii maada hawezi kuamini
 
#BBC #SUBSCRIBE

MUSWADA WENYE UTATA WAPANGWA TAN ZANIA, UNAWAPA KINGA RAIS, SPIKA, WAZILI MKUU, JAJI MKUU KUSTAKIWA

[emoji117][emoji117][emoji117]
Mswaada huu unajihami juu ya maovu yanayotokea sasa nchini na yale yaliyopangwa kutokea kwenye kampeni kuuendea uchaguzi mkuu
intro-1517489070.jpg
 
Utaamin vip kwa mfano mwanaume kuzingishia wanaume wenzake kua wame mkanyaga kwa sababu za kisiasa tu
Duh akili za watu wengine ata ukimwekea video hawezi kukuamini.Hizi aina za ubaguzi mbaya sana ..uwe wa rangi au itikadi....kuna watu pamoja na video ya yule jamaa mmarekani baado hawamini tu sawa na huyu mtoa hii maada hawezi kuamini
 
Back
Top Bottom