Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Ona huu ujinga mwingine! Yani mtu unatembea mpaka usiku wa manane alafu huna walinzi kisa korona? Huko anakozungukia hakuna korona?

Chadema ni fungu la kukosa

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, ametuma tena GENGE lake la Watu wasiojulikana. Sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 
Nikushauri tu ndugu yangu bila kujali itikadi, jitahidi kuwa mchaguzi wa meneno ya kuongea kwenye kipindi tete kama tulio nacho.

Unaweza ukafikiria unawafurahisha wenzako kumbe ndiyo unatia petrol kwenye moto wa nyikani.

Hizi siasa zipo na zitaendelea kuwepo hata kama wewe hautakuwepo hapa duniani.
Kwaio chadema mnasema Mbowe Kaka nyangwa na magufuli?
 
Kwaio Mbowe Kaka nyangwa Mpaka kavunjika mguu na mkono alikua amekaa style gani Mana inaonesha wazi hakua amelala chali Wala kulalia tumbo Kuna stail alikua amekaa MTUSAIDIE jaman

Amekanyagwa vipi


Tusilete siasa kwenye Aman ya nchi tuelezen kwa undan ili tupime hoja Kama Kuna mkono wa mtu Basi Sheria ifate mkondo wake

Kila mtu apewe haki yake Tundulisu ameahid kuongea baadae juu ya swala la Mbowe
Mzee, uko very poor kwenye writting skills, nakushauri jibidishe kwenye mazoezi ya kuandika.
 
ila mwanaume mwenye HELA unapigwaje kihasara hivyo aise..huna hata bastola aisee au machine gun moja hivi ya kuwachakaza chakaza hao wahuni
 
Sioni hoja yako ni ipi hapa, tatizo ni kutembea usiku au tatizo ni usalama mdogo wa viongozi wa upinzani? Maana kama tatizo ni kutembea usiku, Lisu yeye alishambuliwa mchana kweupe.

Na kama suala ni viongozi wa upinzani kuhitaji ulinzi kwa ajili ya usalama wao, basi Lisu ameomba zaidi ya mara moja ahakikishiwe usalama wake, lakini hakuna aliye tayari kumpa huo ulinzi. Wakati mwingine ndugu jiepushe na kutetea uovu, kwa sababu za kuungaunga.
Unapotembea usiku mnene hata kama uko pentagon,,kila mtu anaekuapproach ni potential threat,,haijalishi wewe ni mwanasiasa au chinga
 
Unapotembea usiku mnene hata kama uko pentagon,,kila mtu anaekuapproach ni potential threat,,haijalishi wewe ni mwanasiasa au chinga

Nakuuliza tena, tatizo ni kutembea usiku au tatizo ni upinzani? Kama tatizo ni kutembea usiku mbona watanzania wengi wangekuwa wameshapoteza maisha? Acha kutetea uovu boss kwa hoja za kulazimisha.
 
Unapotembea usiku mnene hata kama uko pentagon,,kila mtu anaekuapproach ni potential threat,,haijalishi wewe ni mwanasiasa au chinga

Kwa mujibu wa biblia ya elungata?
 
Yaani hana hata wapambe wa kuunga tela,,nini faida ya pesa kama haiwezi hata kukulinda sasa?

Hayo ndiyo maisha ya Tanganyika ambayo wanalazimisha kuyapeleka Zanzibar waliko vamia
 
Nakuuliza tena, tatizo ni kutembea usiku au tatizo ni upinzani? Kama tatizo ni kutembea usiku mbona watanzania wengi wangekuwa wameshapoteza maisha? Acha kutetea uovu boss kwa hoja za kulazimisha.
Mimi sitetei uovu,natoa angalizo in future mjipange,,kama tukio la lisu halikuwafanya mjipange,,ina maana kuna uzembe,,mwenyekiti wa chama kitaifa,anatembeaje usiku wa manane mwenyewe?,
Huoni hapo,wamestudy movements zake na wanajua wapi pa kumbana akiwa alone,
Hii maana yake,ni kuwa wangetaka kumaliza,wangemaliza maana alijiweka easy target,,kama hamjifunzi kwa haya matukio,then hamko serious
 
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
Hakuna cha kuogooa halo, chama chenyewe kipo ICU!
Lowasa alikuta chama kipo juu kimejengwa na akina Dr slaa lakini bado hakufua dafu na muungano wa vyama vinne vya siasa
Sembuse poor chadema hii
 
Nakuuliza tena, tatizo ni kutembea usiku au tatizo ni upinzani? Kama tatizo ni kutembea usiku mbona watanzania wengi wangekuwa wameshapoteza maisha? Acha kutetea uovu boss kwa hoja za kulazimisha.
Sasa Tindo bado unajiuliza hayo maswali kweli? Aisee!
 
Hii nchi ina watu wapumbavu sana.ukiwaambia uwa piga Fulani wanafanya.sasa wanaowatuma washawahi kujiuliza siku wakitumwa kuwaumiza wao pia watafanya hivyo. Kwa sababu lazima waelewe kuwa wanafanya hayo mabaya wanayowatuma kwa sababu wameshaharibikiwa akili zao. Na kwa akili zao hizo hizo zilizoharibika siku wakitumwa kuwauwa wao watawauwa pia. ENDELEENI TU KUKATAA KUWA NA MUNGU KATIKA FAAHAMU ZENU. MAANA MUNGU NAYE AMEWAACHA MTUMIE AKILI ZENU ZISIZO MATUNDA MEMA. NDIYO HAYO SASA. LISU,MBOWE, SIKU ITAFIKA KWA MAWAZIRI NA KUENDELEA.
 
Sure..
Get well soom Mh Mbowe..
MUNGU AKULINDE sana.
Pona haraka mfalme wetu.
Pona haraka sultani wetu.
Pona haraka m/kiti wetu wa maisha.
Pona tu kaka zile B.8 michango ya wabunge tumesamehe. Hata kashfa za viti maalumu tumesahau.
Pona kamanda
 
Hakuna cha kuogooa halo, chama chenyewe kipo ICU!
Lowasa alikuta chama kipo juu kimejengwa na akina Dr slaa lakini bado hakufua dafu na muungano wa vyama vinne vya siasa
Sembuse poor chadema hii
Mwenyekiti aache kutumia MTUTU WA BUNDUKI kuongoza nchi, kuna leo na kesho. Shauri yake.
 
Hakuna cha kuogooa halo, chama chenyewe kipo ICU!
Lowasa alikuta chama kipo juu kimejengwa na akina Dr slaa lakini bado hakufua dafu na muungano wa vyama vinne vya siasa
Sembuse poor chadema hii
Naona mnatunga sheria za kujilinda mkitoka madarakani msihitakiwe,kumbe nyie ni waoga hivyo?hiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom