Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Mwenyekiti aache kutumia MTUTU WA BUNDUKI kuongoza nchi, kuna leo na kesho. Shauri yake.Kwaio hao watu walio tumwa ndio wame mkanyaga mbowe na je walikua wangap na vip wote wamemkanyaga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti aache kutumia MTUTU WA BUNDUKI kuongoza nchi, kuna leo na kesho. Shauri yake.Kwaio hao watu walio tumwa ndio wame mkanyaga mbowe na je walikua wangap na vip wote wamemkanyaga?
Halafu wao wana kila kitu,Polisi,bunge ,tume za uchaguzi nk sasa hofu huwa ni nini hasaWatakata roho kabisa maana hiyo ni kwa hofu ya hotuba tu ya mh lissu
Picha lishaanzaWacha wajiandalie njia nyeupe ya kwenda The Hague
Kwa mujibu wa...Kwa mujibu wa biblia ya elungata?
Picha lishaanza
Hao wasio wa kawaida ni wachache, watadhibitiwa mapewa sana.Watakaoleta machafuko sio watanzania wa kawaida ....
Halafu wao wana kila kitu,Polisi,bunge ,tume za uchaguzi nk sasa hofu huwa ni nini hasa
Halafu uck wa manane.Ila vitu vingine jamani, inamaana Mbowe hana bodigadi,yaani anatembea bila walinzi?? Diamond ana bodgad sembuse Kub?? Tuache maigizo basi
Tza ndio chuo cha udikteta East Africa, madikteta wote wameishi,wamekua,wamesoma kwetu.Tunaelekea kwa kina Nkurunzinza
Nilikuwa nasikia CHADEMA haina ofisi ya Makao Makuu ila wamepanga. Picha ya hayo makazi ya Makao Makuu, hata nyavu zimechakaa, du! Yumkini hata kulipa walinzi imekuwa ni tabu tupu.Naona mapicha tu hapa yaani hata hao aliokuwa nao kumsindikiza Boss wao home wameshindwa? Wakamuacha aende peke yake
Kutembea Usiku au mchana hakujalishi alipaswa kuwa na walinzi au wapambe
Hata mimi kapuku huwa nina machale
Huwa awafi haraka Hawa,so tujiandae na misoto ya nguvuYana mwisho.siku jiwe akifa nitakuja kuquote hii comment
Wanachanjia madawa ya kienyeji au inakuwaje ?Huwa awafi haraka Hawa,so tujiandae na misoto ya nguvu
Wahusika ni wakina nani ?Mwisho umefika msikae kulialia..viongozi walindwe na hilo genge la wapuuzi linajulikana ifanyike revenge