Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Kwani amewaumiza wangapi ndani ya Chama?
Naunga Mkono hoja, ni wakati wake sasa kulipa.
Unalala na wake za watu, kila girlfriend wa mwenzio unamtamani, hutaki mtu akuguse.
huyo muhuni unaye mzungumzia hapa ni nani? naona kama kuna mtu mwenye tabia cahfu
 
Mkuu km mimi ni mmoja niliyekuumiza uniwe radhi sana
Ila Chadema mkiacha matusi mtandaoni na nyie mtatendewa vyema

Ila kama yule jamaa enu wa ubeligiji anaongoza kwa matusi unadhani nyie ntaachwa kutukanwa?

Mimi Mbowe namkubali ni mtu humble japo anamagumashi kwenye pesa na totoz
 
Unadhani wataona vipi vibaya ikiwa huo uhuni unawafaidisha?
Yaani damu iliyomwagika ya Mtanzania mwenzetu tunafurahia? Kweli kabisa? Ni lini Mbowe aliidhihaki Tanzania hata kustahili hayo? kustahili dhihaka na kejeli kutoka kwa wana CCM? Je wao wataishi daima?? Kwanini tukubali siasa itufikishe hapa kuw aleo akiumizwa Mbowe, akiuliwa Mawazo, na Pro Chadema wengine tufurahie??
 
Tumewaambia Chadema watalipwa kutokana na matendo yao

Wao hufurahia mabaya ya Ccm kuna wengine wanaombea hata viongozi wafe
Acha undumilakuwi sio chadema waliokuwa wanafurahia vifo vya watu/viongozi waliokuwa wanakufa kipindi Cha hofu ya Corona? Ikitokea kada wa CCM amekufa hata kwa malaria mnasema Corona na dhihaka juu Sasa mnadhani DJ wenu adhihakiwa
 
Mkuu km mimi ni mmoja niliyekuumiza uniwe radhi sana. Ila Chadema mkiacha matusi mtandaoni na nyie mtatendewa vyema.
Nionyeshe au nitajie popote pale mwana chadema yoyote yule aliyetukana, nipe mfano wowote ule. Ndugu Tanzania ni yetu sote, siasa za kishenzi namna hii hazijengi, tukosoane kwa heshima. Wote tuna maumivu sawa, leo hii Mbowe yuko kitandani, wewe inakusaidia nini? inakuongezea nini? Tukeindelea kushabikia huu ushenzi watoto wetu na ndugu zetu watarithi nini? Chuki? CCM, CCM, CCM MUNGU anawaona.
 
Sio uongo, nimefika mahali nimetamani makundi kama ya mungiki Kule Kenya ambayo kazi yake ilikuwa kulipa visasi na mpaka watu wakaheshimiana.

Viongozi wa CCM ndio wasababishaji wa haya mambo na yakitokea nadhani wanapongezana. Pengine wakiona wenzao wawili watatu wametawanywa ubongo ndio watatoa matamko ya kulaani ujinga huu.

Yaani KUB anapigwa kama kibaka na nchi imetulia? Ingekuwa kwingine sasa hivi tunazima moto vituo vya mafuta vilivyo chomwa, ofisi za serikali au vituo vya polisi. Ila ndio tuendako
 
Acha undumilakuwi sio chadema waliokuwa wanafurahia vifo vya watu/viongozi waliokuwa wanakufa kipindi Cha hofu ya Corona? Ikitokea kada wa CCM amekufa hata kwa malaria mnasema Corona na dhihaka juu Sasa mnadhani DJ wenu adhihakiwa
Wewe shetani nakuweka kiporo, DJ naye ni mtu, wewe mwenye PhD ndio umefanya nini? Kutuua? Kutuumiza? Kisa mnaringia dola? Ok
 
Tumewaambia Chadema watalipwa kutokana na matendo yao

Wao hufurahia mabaya ya Ccm kuna wengine wanaombea hata viongozi wafe
Nionyeshe ni wapi walifurahia? Kwahio kwakuwa walifurahia ndio na nhyie mfurahie? ndio busara inavyowatuma? Ok sawa ngoja tuone
 
Inasikitisha sana.
 
Tukiacha siasa, nadhani sasa ubinadamu lazima uchukuwe nafasi yake.
Mbowe ni baba, mume, kaka na mjomba wa watu.
Kwakweli watu tomekosa utu na siasa zinaonekana kututawala hadi kutothamini tena ubinadamu.
Wewe tulia tu, waache tu, hakuna shida, MBOWE sio mtu, Mbowe ni kama mnyama tu, si ndio wanavyochukulia, tulia tu. MUNGU hadhikiwi
 
wewe shetani nakuweka kiporo, DJ naye ni mtu, wewe mwenye PhD ndio umefanya nini? Kutuua? Kutuumiza? Kisa mnaringia dola? Ok
Shetani ni wewe mwenye ndimi mbili na mwenyekiti wenu udj ni professional yake Nani kasema yeye ni sio mtu, huu mchezo hauitaji hasira [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Tanzania kwa matakwa ya kisiasa inaelekea kubaya kwa mendokasi. Ni mtoto mdogo tu ndiye atadiriki kutamka wazi kuwa: "Mfalme yuko uchi".
 
Tanzania tuna upuuzi upuuzi bado. Kwa Tz tunahisi kukashifu na matusi ndiyo siasa yenyewe.

Hivyo pande zote mbili za utawala na upinzani kutukanana na kashfa imekua sehemu ya maisha ya kisiasa. Visiwani wameenda mbali mpaka kuuziana bidhaa imekua tatizo kidogo.

That being said, kwani Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani hana ulinzi binafsi?
 
Nyie hamna kumbukumbu mmejaa ujinga wakifa viongozi wa Ccm mnashangilia mmesahau hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…