huyo muhuni unaye mzungumzia hapa ni nani? naona kama kuna mtu mwenye tabia cahfuKwani amewaumiza wangapi ndani ya Chama?
Naunga Mkono hoja, ni wakati wake sasa kulipa.
Unalala na wake za watu, kila girlfriend wa mwenzio unamtamani, hutaki mtu akuguse.
Yaani damu iliyomwagika ya Mtanzania mwenzetu tunafurahia? Kweli kabisa? Ni lini Mbowe aliidhihaki Tanzania hata kustahili hayo? kustahili dhihaka na kejeli kutoka kwa wana CCM? Je wao wataishi daima?? Kwanini tukubali siasa itufikishe hapa kuw aleo akiumizwa Mbowe, akiuliwa Mawazo, na Pro Chadema wengine tufurahie??Unadhani wataona vipi vibaya ikiwa huo uhuni unawafaidisha?
Acha undumilakuwi sio chadema waliokuwa wanafurahia vifo vya watu/viongozi waliokuwa wanakufa kipindi Cha hofu ya Corona? Ikitokea kada wa CCM amekufa hata kwa malaria mnasema Corona na dhihaka juu Sasa mnadhani DJ wenu adhihakiwa
Nionyeshe au nitajie popote pale mwana chadema yoyote yule aliyetukana, nipe mfano wowote ule. Ndugu Tanzania ni yetu sote, siasa za kishenzi namna hii hazijengi, tukosoane kwa heshima. Wote tuna maumivu sawa, leo hii Mbowe yuko kitandani, wewe inakusaidia nini? inakuongezea nini? Tukeindelea kushabikia huu ushenzi watoto wetu na ndugu zetu watarithi nini? Chuki? CCM, CCM, CCM MUNGU anawaona.Mkuu km mimi ni mmoja niliyekuumiza uniwe radhi sana. Ila Chadema mkiacha matusi mtandaoni na nyie mtatendewa vyema.
Wewe shetani nakuweka kiporo, DJ naye ni mtu, wewe mwenye PhD ndio umefanya nini? Kutuua? Kutuumiza? Kisa mnaringia dola? OkAcha undumilakuwi sio chadema waliokuwa wanafurahia vifo vya watu/viongozi waliokuwa wanakufa kipindi Cha hofu ya Corona? Ikitokea kada wa CCM amekufa hata kwa malaria mnasema Corona na dhihaka juu Sasa mnadhani DJ wenu adhihakiwa
Nionyeshe ni wapi walifurahia? Kwahio kwakuwa walifurahia ndio na nhyie mfurahie? ndio busara inavyowatuma? Ok sawa ngoja tuoneTumewaambia Chadema watalipwa kutokana na matendo yao
Wao hufurahia mabaya ya Ccm kuna wengine wanaombea hata viongozi wafe
Inasikitisha sana.Yaani damu iliyomwagika ya Mtanzania mwenzetu tunafurahia? Kweli kabisa? Ni lini Mbowe aliidhihaki Tanzania hata kustahili hayo? kustahili dhihaka na kejeli kutoka kwa wana CCM? Je wao wataishi daima?? Kwanini tukubali siasa itufikishe hapa kuw aleo akiumizwa Mbowe, akiuliwa Mawazo, na Pro Chadema wengine tufurahie??
Wewe tulia tu, waache tu, hakuna shida, MBOWE sio mtu, Mbowe ni kama mnyama tu, si ndio wanavyochukulia, tulia tu. MUNGU hadhikiwiTukiacha siasa, nadhani sasa ubinadamu lazima uchukuwe nafasi yake.
Mbowe ni baba, mume, kaka na mjomba wa watu.
Kwakweli watu tomekosa utu na siasa zinaonekana kututawala hadi kutothamini tena ubinadamu.
Shetani ni wewe mwenye ndimi mbili na mwenyekiti wenu udj ni professional yake Nani kasema yeye ni sio mtu, huu mchezo hauitaji hasira [emoji23][emoji1787][emoji2960]wewe shetani nakuweka kiporo, DJ naye ni mtu, wewe mwenye PhD ndio umefanya nini? Kutuua? Kutuumiza? Kisa mnaringia dola? Ok
wewe sio shetani tu, ni kibwengo na mwendawazimu kabisa, kama kweli mnajiamini si muache kutumia Polisi?Shetani ni wewe mwenye ndimi mbili na mwenyekiti wenu udj ni professional yake Nani kasema yeye ni sio mtu, huu mchezo hauitaji hasira [emoji23][emoji1787][emoji2960]View attachment 1473174
Tanzania kwa matakwa ya kisiasa inaelekea kubaya kwa mendokasi. Ni mtoto mdogo tu ndiye atadiriki kutamka wazi kuwa: "Mfalme yuko uchi".Nianze Kwanza kwa Kutoa Pole zangu za dhati kabisa kwa Mheshimiwa Freeman Mbowe, Familia yake, Wapiga Kura wake, Wanachama wake wa CHADEMA, Wanasiasa mbalimbali, Wabunge na Sisi Watanzania wa kawaida tusioegemea upande wowote ule (Mzukulu) nikiwemo kwa kilichotokea. Naamini Mwenyezi Mungu ataupigania Uhai wake ila kwa waliohusika Maulana / Mola atawajibu kwa Adhabu Kali kabisa.
Jana nilipoziona tu zile Nondo Kali na zenye Mashiko za Mheshimiwa Tundu Lissu nilihisi kabisa kuwa ili kuwapoteza Watu na Kuyahamisha Mawazo yao katika Kukijadili au Kuyajadili yale aliyoyaandika ambayo yote ni mazuri basi ni lazima tu Spinning ya Hatari ingefanyika. Kilichofanyika ni kutaka Kufunika alichokifanya Lissu jana kuanzia leo Watanzania wote tujikite zaidi katika Kuzungumzia hili lililomkuta Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Na Kiutaalam zaidi ili kuonyesha kuwa hawa Wahuni wanaolelewa vibaya na walijipanga ni kwamba itakuwa walijipanga tokea pale Taarifa za Mheshimiwa Tundu Lissu aliposema kuwa atazungumza na Watanzania hivyo hata Wao walishajipanga na walipoona Jana Mheshimiwa Tundu Lissu katoa Nondo ile Kabambe basi na Wao wakaamua Kulitekeleza hilo walilolitekeleza.
Kuna Mmoja namuheshimu sana humu ila sasa nitaanza Kumdharau amesema kuwa Mheshimiwa Mbowe Kavamiwa na Majambazi akiwa na Kimada aliyemnunua. Ameshindwa kujua ya kwamba Siku zote Mbinu za Kijasusi huwa zinaratibiwa vyema na Kimkakati zaidi kwa kuwahusisha Magenge ya Wahuni ili hata likija Kufanikiwa basi hao Majasusi wasijulikane moja kwa moja kama ni Wao.
Kwa hali ilivyo na kwa uelewa wangu mdogo sana wa Masuala ya Usalama ( Ujasusi ) ila wale wanaojua zaidi yangu hapa JF watanisaidia ni kwamba kwa Nyakati tuliopo na kwa Hofu ya Wapinzani na Agenda zao, na kwa Uchungu wa Kulikosa Jimbo la Hai ambalo wanalitaka na kwa kutaka Kuleta Hofu na Vitisho nitakuwa wa mwisho Kuamini kama katika hili Tukio la Mbowe hayo Mapanga hayakuwa na Sumu za Kijasusi.
Namalizia tu kwa kusema kama Tanzania ya sasa imefikia hapa ambapo Wanasiasa wanafanyiwa mambo haya mabaya halafu nchi ina Kiongozi Mkuu na ina Idara yake ya Usalama na mambo (matukio) haya yanatokea kila Kukicha ila wanayanyamazia basi huenda kwa Mwaka huu Tanzania ikawa na Vifo vingi vya Wanasiasa (hasa wa Upinzani) na Wanaharakati kuliko wale ambao labda CORONA ingewauwa au imewauwa.
Nawaombea LAANA mbaya sana na Kali mno kwa Mwenyezi Mungu hawa Wote wanaoyafanya haya na hasa huyo Mkubwa wao anayewatuma.
Nionyeshe au nitajie popote pale mwana chadema yoyote yule aliyetukana, nipe mfano wowote ule. Ndugu Tanzania ni yetu sote, siasa za kishenzi namna hii hazijengi, tukosoane kwa heshima. Wote tuna maumivu sawa, leo hii Mbowe yuko kitandani, wewe inakusaidia nini? inakuongezea nini? Tukeindelea kushabikia huu ushenzi watoto wetu na ndugu zetu watarithi nini? Chuki? CCM, CCM, CCM MUNGU anawaona.