Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Acha ujinga wako, toa mifano, pia nimekuuliza, kwahio kwakua walifanya hvyo (ambayo najua ni uongo pia) na wewe ndio ufanye hivyo? Ndio akili zenu zinawatuma hivyo?Nyie hamna kumbukumbu mmejaa ujinga wakifa viongozi wa Ccm mnashangilia mmesahau hilo?