G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Utakuwa hujielewi, hakuna chama chenye vijana wahuni wanaojifanya wajuaji kama CCM. Haiingii akilini Mbowe kupigwa na wengine nje ya vijana wahuni wa CCM ambao wanadhani kwa kufanya hivyo eti ni wazalendo.Kapigwa na wahuni Kama walivyosema!!!
Sasa Magu anaweza tuma wahuni? Kupiga tu? Hebu jamani tuwe tunafikiria?
Halafu wanatoa na maneno kabisa ukome kutukana Rais? Ha ha ha ha
My brain umekataa kukubali hili.
Na mbaya zaidi utakuta wana vyeo ndani ya serikali ya Magufuli.