Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Nyie hamna kumbukumbu mmejaa ujinga wakifa viongozi wa Ccm mnashangilia mmesahau hilo?
Acha ujinga wako, toa mifano, pia nimekuuliza, kwahio kwakua walifanya hvyo (ambayo najua ni uongo pia) na wewe ndio ufanye hivyo? Ndio akili zenu zinawatuma hivyo?
 
Poleni..sasa hapa sijui mlengwa ni Mbowe tu ama na RPC wa Dodoma,yule aliyejizolea umaarufu wa msemo Fulani..hivi nimeusahau....mwenye kumbukumbu anikumbushe au siye?
 
tusilete siasa kwenye kila kitu. Unapaswa kujua kuwa hali ya usalama katika mji wa Dododma ni hafifu mno, mi juzi likutana na vibaka na mapanga nyuma ya LAPF, uhindini. Watu wengi wanajeruhiwa na vibaka katikati ya mji, mwezi february kuna mama aliuawa maeneo ya Nkuhungu akienda ibada ya asubuhi kanisani: Haya ndo tunapaswa kuya zungumzia na siyo kuhusisha kila kitu na politics
 
Huna hoja msukule comment yangu ya kwanza ndio imemaliza kila kitu
acha bange wewe, comment au upuuzi? eti comment yangu ya kwanza, kuwa na adabu tena. Wewe ndio msukule usiyejielewa, huna hata uwezo wa kuhoji, fisi maji mkubwa wewe. Mnaishi kwa majungu na unafiki
 
acha bange wewe, comment au upuuzi? eti comment yangu ya kwanza, kuwa na adabu tena. Wewe ndio msukule usiyejielewa, huna hata uwezo wa kuhoji, fisi maji mkubwa wewe. Mnaishi kwa majungu na unafiki
Matusi ya nini au Kama ilivyo sera yenu?
 
Matusi ya nini au Kama ilivyo sera yenu?
Tusi liko wapi? sera iko wapi? Ukileta ujuaji ujue tunajua zaidi yako, ukiwa na busara basi busara itatumika not otherwise. Shukrani tuendelee na mjadala
 
Kwa nn mnasema ameshambuliwa na watu wasio julikana wakati mnafahamu fika uchunguzi bado unaendelea?! Tusubiri uchunguzi wa polisi, tusiingize ushabiki wa kisiasa.
Kama ni vibaka au nani watajulikana baada ya uchunguzi
 
Mkuu Elli nafikiri wewe sio msomaji wa mtandao huu wa JF au umeamua kukataa kitu ambacho kila mchangiaji wa mtandao huu anajua labda wewe tuu.

Ukitaka kuona matusi, maneno ya karaha, dhihaka, manyayaso hata kukufuru angalia michango ya uzi wowote ule ambao Chadema wanauona ni hasi kwao.
Naweza kuleta komenti zaidi ya 200 wacha moja ambazo zitathibitisha haya.

Kuna mabadilika ambayo nayaona yanakuja kidigo kidogo ambayo wachangiaji wa mrengo wa Chadema na CCM wanaelekea kutoshana nguvu.
 
Kwa nn mnasema ameshambuliwa na watu wasio julikana wakati mnafahamu fika uchunguzi bado unaendelea?! Tusubiri uchunguzi wa polisi, tusiingize ushabiki wa kisiasa.
Kama ni vibaka au nani watajulikana baada ya uchunguzi
umenena,
 
Siwezi kukataa ila si kwa kiwango cha kukera kiasi ch akuhusischa uhai na dhihaka
 
WALIAMZAKWADOGO CHADEMA. MKAKAA KIMYA MKAHISI WAKUBWA AWATOGUSWA
AMKENISASATETEE KILA MNAEHISI ANAHITAJI MSAADA SIOKWA WAKUBWA TU

HOPE HNA MICHANGO
KUSAIDIA MATIBABU YA KUB
 
Siwezi kukataa ila si kwa kiwango cha kukera kiasi ch akuhusischa uhai na dhihaka
Kuna siku zimepita kidogo, nilipatwa na ghathabu na sikuchangia kwa adabu, Yaliyotokea nilisikia aibu sana. Mchangiaji mmoja aka nikanya kwa kuniambia wazi Mzee wa Mmbaga hapa unapitiliza na napeleka salamu hizi Mvaa. Nakajua anafahamu anapotoka Baba yangu na mama yangu. NILISIKIA AIBU SANA. Ni kujitafakari yuu.
 
Toka lini hospitali za Dar zimeanza kuaminika kuwa na ulinzi madhubuti wa kuwazuia wasiojulikana ili wasimdhuru zaidi Mwamba? mpelekeni mr. dj ubelgiji ili akatibiwe huko kama Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…