Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Yeah! Serikali ya KIDHALIMU ambayo imeshindwa kuchunguza kifo cha Mawazo, kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda na wengine chungu nzima pia shambulizi la lissu. Serikali ambayo ilihusika katika kuzuia malipo ya matibabu kwa lissu na pia kuhusika kumpora Ubunge wake.

Nonsense, yaani aumizwe Kwa madhambi yake mseme Serikali.
 
Alikuwepo wakati wa tukio au kaamua KUROPOKA bila ya kuwa na ushahidi!?

Lijualikali amesema mbowe alitoka kwenye ulevi ameanguka kwenye ngazi akaamua atafutie kiki kuwa kapigwa
 

View attachment 1472650

Salaam,

Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.

Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.

Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.

Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata

UPDATES
FREEMAN MBOWE AHAMISHIWA DAR KUTOKEA DODOMA


Kiongozi huyo wa Kambi rasmi ya Upinzani, ametolewa katika hospitali ya DCMC jijini Dodoma na kusafirishwa kwenda jijini Dar kwa matibabu zaidi

Mnadhimu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Esther Bulaya amesema wataeleza baadaye ni hospitali gani anakwenda kutibiwa Mbowe, akifika jijini Dar

Daktari anayemtibu amesema hali ya Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai inaendela vizuri ila ni maumivu bado yupo nayo kutokana na kuvunjika kwa mfupa wa mguu wa kulia


MAONI YANGU:
Mhe. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.

Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?

We need to wake up, better late than never.

Kuna umuhimu wa watu kuonesha ubora wao kama wanavyoaminisha umma. Ukishajiona ni mtu muhimu kiasi cha kuhutubia taifa kwa nafasi yako, ukaomba hata urais wa nchi, unastahili kuonesha ubora wa matendo yako hata iwe kwa kuigiza.

Awamu iliyopita tulilaani rais kusafiri bila faida kwa taifa. Rais kunengua kila asikiapo muziki, nk. Leo hii KUB wetu anatembea usiku wa manane bila walinzi bila kueleweka anatoka wapi. Atawezaje kutuaminisha sababu ya kushambuliwa ktk mazingira hayo? Ni mazoea ya mitaani na ndiyo maana nasema haitakuja kuwa rahisi makuzi ya disco yakugeuze kuwa kiongozi wa taifa bora,.
 
Duh kwani ni huo mguu tu au wamemdhuru na humo ndani
 
Ila vitu vingine jamani, inamaana Mbowe hana bodigadi,yaani anatembea bila walinzi?? Diamond ana bodgad sembuse Kub?? Tuache maigizo basi
Huyo alikuwa na ujinga wake mitaani. Unawezaje kutembea saa 6 usiku kwa nafasi yako bila hata rafiki. Hata kibaka na rungu lake atakujeruhi tu! Ndo tunapoanzia kupima busara za wale wanaotaka kuwa viongozi wa nchi na wana wafuasi kibao!
 
Baada ya kupata taharifa ya Mbowe kuvamiwa, nilistahajabu kidogo kuona watu wengi wakishangaa mitandaoni, baada ya kuisikia kauli ya Kamanda Muroto nimeshawishika kushare machache yangu.

Kamanda Muroto amesema kwamba tukio la kuvamiwa kwa Mh Freeman Mbowe ni la kawaida, na mm ninamuunga mkono.

Yamekwishatokea mengi sana kuliko la huyo Mwenyekiti wa Chadema, wengineo wamepoteza maisha, na wengineo haifahamiki kama wapo hai au walitangulizwa mbele za haki.

Kauli ya Kamanda huyo shujaa inatakiwa wanasiasa na wananchi waielewe vizuri, inawezekana hayakuzoeleka sana katika vipindi vilivyopita lkn kwa sasa inatakiwa Wananchi/aliyevamiwa/aliyevamia wasistaajabu.......
 
Baada ya kupata taharifa ya Mbowe kuvamiwa, nilistahajabu kidogo kuona watu wengi wakishangaa mitandaoni, baada ya kuisikia kauli ya Kamanda Muroto nimeshawishika kushare machache yangu.

Kamanda Muroto amesema kwamba tukio la kuvamiwa kwa Mh Freeman Mbowe ni la kawaida, na mm ninamuunga mkono.

Yamekwishatokea mengi sana kuliko la huyo Mwenyekiti wa Chadema, wengineo wamepoteza maisha, na wengineo haifahamiki kama wapo hai au walitangulizwa mbele za haki.

Kauli ya Kamanda huyo shujaa inatakiwa wanasiasa na wananchi waielewe vizuri, inawezekana hayakuzoeleka sana katika vipindi vilivyopita lkn kwa sasa inatakiwa Wananchi/aliyevamiwa/aliyevamia wasistaajabu.......
Hata baba yako akivamiwa tulia hivo hivo kama unanyolewa
 
Baada ya kupata taharifa ya Mbowe kuvamiwa, nilistahajabu kidogo kuona watu wengi wakishangaa mitandaoni, baada ya kuisikia kauli ya Kamanda Muroto nimeshawishika kushare machache yangu.

Kamanda Muroto amesema kwamba tukio la kuvamiwa kwa Mh Freeman Mbowe ni la kawaida, na mm ninamuunga mkono.

Yamekwishatokea mengi sana kuliko la huyo Mwenyekiti wa Chadema, wengineo wamepoteza maisha, na wengineo haifahamiki kama wapo hai au walitangulizwa mbele za haki.

Kauli ya Kamanda huyo shujaa inatakiwa wanasiasa na wananchi waielewe vizuri, inawezekana hayakuzoeleka sana katika vipindi vilivyopita lkn kwa sasa inatakiwa Wananchi/aliyevamiwa/aliyevamia wasistaajabu.......
Maana yake tutarajie matukio makubwa na ya kutisha hivyo hili ni cha mtoto tu.
 
Pole Mbowe tujifunze kuwahi kurudi nyumbani
Sishangai kauli zako. Hata Magufuli aliwakebehi wana Bukoba wakati wa maafa ya tetemeko. Siyo mila na Desturi za kiafrika. Wakati wa janga kama huu, kawaida ni kutoa pole tu.

Upinzani na CCM ni watani. Wakati wa shida hupeana pole tu, kama Simba na Yanga vile. Ila awamu hii ni uadui tu, hasa serikali dhidi ya upinzani. Na nyie wapambe ndio mnakopi na kupesti utadhani hizo bongo mlizopewa na Mungu mnazitumia kupengea kamasi vile

Kama huna lifaalo kuongea muda huu, ni busara kukaa kimya
 
Baada ya kupata taharifa ya Mbowe kuvamiwa, nilistahajabu kidogo kuona watu wengi wakishangaa mitandaoni, baada ya kuisikia kauli ya Kamanda Muroto nimeshawishika kushare machache yangu.

Kamanda Muroto amesema kwamba tukio la kuvamiwa kwa Mh Freeman Mbowe ni la kawaida, na mm ninamuunga mkono.

Yamekwishatokea mengi sana kuliko la huyo Mwenyekiti wa Chadema, wengineo wamepoteza maisha, na wengineo haifahamiki kama wapo hai au walitangulizwa mbele za haki.

Kauli ya Kamanda huyo shujaa inatakiwa wanasiasa na wananchi waielewe vizuri, inawezekana hayakuzoeleka sana katika vipindi vilivyopita lkn kwa sasa inatakiwa Wananchi/aliyevamiwa/aliyevamia wasistaajabu.......
Katukio ka kawaida saaaanaaaaaaa. Sera ya Siasa za Matukio na Kiki hapo zimebumba kabisa. Wanasema mwisho wa Ubaya ni AIBU.
 
Mkuu mbona nimetoa pole
Sishangai kauli zako. Hata Magufuli aliwakebehi wana Bukoba wakati wa maafa ya tetemeko. Siyo mila na Desturi za kiafrika. Wakati wa janga kama huu, kawaida ni kutoa pole tu.

Upinzani na CCM ni watani. Wakati wa shida hupeana pole tu, kama Simba na Yanga vile. Ila awamu hii ni uadui tu, hasa serikali dhidi ya upinzani. Na nyie wapambe ndio mnakopi na kupesti utadhani hizo bongo mlizopewa na Mungu mnazitumia kupengea kamasi vile

Kama huna lifaalo kuongea muda huu, ni busara kukaa kimya
 
Sishangai kauli zako. Hata Magufuli aliwakebehi wana Bukoba wakati wa maafa ya tetemeko. Siyo mila na Desturi za kiafrika. Wakati wa janga kama huu, kawaida ni kutoa pole tu.

Upinzani na CCM ni watani. Wakati wa shida hupeana pole tu, kama Simba na Yanga vile. Ila awamu hii ni uadui tu, hasa serikali dhidi ya upinzani. Na nyie wapambe ndio mnakopi na kupesti utadhani hizo bongo mlizopewa na Mungu mnazitumia kupengea kamasi vile

Kama huna lifaalo kuongea muda huu, ni busara kukaa kimya
Pole kwa mlevi?
 
Back
Top Bottom