kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
Lijualikali amesema mbowe alitoka kwenye ulevi ameanguka kwenye ngazi akaamua atafutie kiki kuwa kapigwaWewe ni lofa hizo 7000/- unazolipwa zisikufanye uwe lofa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lijualikali amesema mbowe alitoka kwenye ulevi ameanguka kwenye ngazi akaamua atafutie kiki kuwa kapigwaWewe ni lofa hizo 7000/- unazolipwa zisikufanye uwe lofa
Nonsense, yaani aumizwe Kwa madhambi yake mseme Serikali.
Lijualikali amesema mbowe alitoka kwenye ulevi ameanguka kwenye ngazi akaamua atafutie kiki kuwa kapigwa
View attachment 1472650
Salaam,
Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.
Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.
Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.
Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata
UPDATES
FREEMAN MBOWE AHAMISHIWA DAR KUTOKEA DODOMA
Kiongozi huyo wa Kambi rasmi ya Upinzani, ametolewa katika hospitali ya DCMC jijini Dodoma na kusafirishwa kwenda jijini Dar kwa matibabu zaidi
Mnadhimu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Esther Bulaya amesema wataeleza baadaye ni hospitali gani anakwenda kutibiwa Mbowe, akifika jijini Dar
Daktari anayemtibu amesema hali ya Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai inaendela vizuri ila ni maumivu bado yupo nayo kutokana na kuvunjika kwa mfupa wa mguu wa kulia
MAONI YANGU:
Mhe. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.
Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?
We need to wake up, better late than never.
Huyo alikuwa na ujinga wake mitaani. Unawezaje kutembea saa 6 usiku kwa nafasi yako bila hata rafiki. Hata kibaka na rungu lake atakujeruhi tu! Ndo tunapoanzia kupima busara za wale wanaotaka kuwa viongozi wa nchi na wana wafuasi kibao!Ila vitu vingine jamani, inamaana Mbowe hana bodigadi,yaani anatembea bila walinzi?? Diamond ana bodgad sembuse Kub?? Tuache maigizo basi
Hata baba yako akivamiwa tulia hivo hivo kama unanyolewaBaada ya kupata taharifa ya Mbowe kuvamiwa, nilistahajabu kidogo kuona watu wengi wakishangaa mitandaoni, baada ya kuisikia kauli ya Kamanda Muroto nimeshawishika kushare machache yangu.
Kamanda Muroto amesema kwamba tukio la kuvamiwa kwa Mh Freeman Mbowe ni la kawaida, na mm ninamuunga mkono.
Yamekwishatokea mengi sana kuliko la huyo Mwenyekiti wa Chadema, wengineo wamepoteza maisha, na wengineo haifahamiki kama wapo hai au walitangulizwa mbele za haki.
Kauli ya Kamanda huyo shujaa inatakiwa wanasiasa na wananchi waielewe vizuri, inawezekana hayakuzoeleka sana katika vipindi vilivyopita lkn kwa sasa inatakiwa Wananchi/aliyevamiwa/aliyevamia wasistaajabu.......
Maana yake tutarajie matukio makubwa na ya kutisha hivyo hili ni cha mtoto tu.Baada ya kupata taharifa ya Mbowe kuvamiwa, nilistahajabu kidogo kuona watu wengi wakishangaa mitandaoni, baada ya kuisikia kauli ya Kamanda Muroto nimeshawishika kushare machache yangu.
Kamanda Muroto amesema kwamba tukio la kuvamiwa kwa Mh Freeman Mbowe ni la kawaida, na mm ninamuunga mkono.
Yamekwishatokea mengi sana kuliko la huyo Mwenyekiti wa Chadema, wengineo wamepoteza maisha, na wengineo haifahamiki kama wapo hai au walitangulizwa mbele za haki.
Kauli ya Kamanda huyo shujaa inatakiwa wanasiasa na wananchi waielewe vizuri, inawezekana hayakuzoeleka sana katika vipindi vilivyopita lkn kwa sasa inatakiwa Wananchi/aliyevamiwa/aliyevamia wasistaajabu.......
Sishangai kauli zako. Hata Magufuli aliwakebehi wana Bukoba wakati wa maafa ya tetemeko. Siyo mila na Desturi za kiafrika. Wakati wa janga kama huu, kawaida ni kutoa pole tu.Pole Mbowe tujifunze kuwahi kurudi nyumbani
Katukio ka kawaida saaaanaaaaaaa. Sera ya Siasa za Matukio na Kiki hapo zimebumba kabisa. Wanasema mwisho wa Ubaya ni AIBU.Baada ya kupata taharifa ya Mbowe kuvamiwa, nilistahajabu kidogo kuona watu wengi wakishangaa mitandaoni, baada ya kuisikia kauli ya Kamanda Muroto nimeshawishika kushare machache yangu.
Kamanda Muroto amesema kwamba tukio la kuvamiwa kwa Mh Freeman Mbowe ni la kawaida, na mm ninamuunga mkono.
Yamekwishatokea mengi sana kuliko la huyo Mwenyekiti wa Chadema, wengineo wamepoteza maisha, na wengineo haifahamiki kama wapo hai au walitangulizwa mbele za haki.
Kauli ya Kamanda huyo shujaa inatakiwa wanasiasa na wananchi waielewe vizuri, inawezekana hayakuzoeleka sana katika vipindi vilivyopita lkn kwa sasa inatakiwa Wananchi/aliyevamiwa/aliyevamia wasistaajabu.......
Sishangai kauli zako. Hata Magufuli aliwakebehi wana Bukoba wakati wa maafa ya tetemeko. Siyo mila na Desturi za kiafrika. Wakati wa janga kama huu, kawaida ni kutoa pole tu.
Upinzani na CCM ni watani. Wakati wa shida hupeana pole tu, kama Simba na Yanga vile. Ila awamu hii ni uadui tu, hasa serikali dhidi ya upinzani. Na nyie wapambe ndio mnakopi na kupesti utadhani hizo bongo mlizopewa na Mungu mnazitumia kupengea kamasi vile
Kama huna lifaalo kuongea muda huu, ni busara kukaa kimya
Sema tujifunze kunywa pombe ya kadri na siyo kuwahi kurudi nyumbani mapema mkuuPole Mbowe tujifunze kuwahi kurudi nyumbani
Pole kwa mlevi?Sishangai kauli zako. Hata Magufuli aliwakebehi wana Bukoba wakati wa maafa ya tetemeko. Siyo mila na Desturi za kiafrika. Wakati wa janga kama huu, kawaida ni kutoa pole tu.
Upinzani na CCM ni watani. Wakati wa shida hupeana pole tu, kama Simba na Yanga vile. Ila awamu hii ni uadui tu, hasa serikali dhidi ya upinzani. Na nyie wapambe ndio mnakopi na kupesti utadhani hizo bongo mlizopewa na Mungu mnazitumia kupengea kamasi vile
Kama huna lifaalo kuongea muda huu, ni busara kukaa kimya