Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Wanachadema wakiongozwa na ngurumo wameanza kuvumisha taarifa za uongo kuwa amepigwa so sad,Waliokuwepo maisha club watasema ukweli,jinsi mbowe alivyosukumwa na kimada wake aliemnunua hapa [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]usitumie nguvu nyingi kupotosha ukweli

Jr[emoji769]
We dingi ebu fafanua hii kauli
 
Hivi ameshambuliwaje?

Kwenye mazingira gani?

Walinzi au mabodigadi wake wakiwa wapi?
 
Wanachadema wakiongozwa na ngurumo wameanza kuvumisha taarifa za uongo kuwa amepigwa so sad,Waliokuwepo maisha club watasema ukweli,jinsi mbowe alivyosukumwa na kimada wake aliemnunua hapa [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]usitumie nguvu nyingi kupotosha ukweli

Jr[emoji769]
Nilikuwa natafuta kauli yako mkuu. Hujawahi kuniangusha. Big up.
Nimeshangaa, kwa hali ya Mbowe apigwe makofi, how comes?
 
jingalao,
Ndigu kuwa serious. Naona sasa unapitiliza mipaka. Hata kama ni siasa hii imepitiliza. Uungwana na busara ni kitu kizuri sana. Hebu jaribu kuvaa viatu VYA huyo aliyefanyiwa kitendo hiko. Tafakari.
 
Back
Top Bottom