Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Sawa halali, sasa alikuwa ana rudi kwa miguu?? Au kwa Gari, gate anafungua mwenyewe au anafunguliwa?? Hana cctv hapo kwenye gate na gari yake haina cctv
Kawaulize mapolisi ya Dodoma ila uanzie kwa tukio la Lissu
 
Wanachadema wakiongozwa na ngurumo wameanza kuvumisha taarifa za uongo kuwa amepigwa so sad,Waliokuwepo maisha club watasema ukweli,jinsi mbowe alivyosukumwa na kimada wake aliemnunua hapa [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]usitumie nguvu nyingi kupotosha ukweli

Jr[emoji769]

Unasema kwamba 😏?
 
Kama ni kweli waliowatuma ni watu wajinga sana kuna mbinu za kisiasa kuzuia watu kama Mbowe lakini si kama hizo za kuwashambulia hizo zinafanyika kwenye nchi zinazoongozwa kidkiteta na hata timing haikuwa sahihi pia hivibvikundi vya green guard, red brigade na vinavyofanana na hivyo vinatakiwa vifutwe mara moja kwani wanaojiunga navyo wengi ni wahalifu walioshindikana ambao hata nidhamu hawana
 
Kwa kweli nami nimecheka tu. yaani hapo plan yao ni kuonyesha laivu hao watu wamemvamia ni wa jpm. Hii nibya kitoto zaidi! Na ukute wamekaa karibu mwezi kupamga kakitu kakitu kakitu ka kitoto.
Mtu kama wewe siku ukija kwenye 18 zangu hutaamini kama ndiye uliyekuwa unachati nae Jamii Forums
 
Usiku wa Jumapili tarehe 7 June 2020 Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe anashambuliwa.

Huku nchi nzima ikisubiri Tundu Antipas Lissu kuzungumza na Taifa kuhusu kutia nia kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku ya Jumatatu June 8, 2020.

Haiwezekana matukio haya yakafuatana. Nani alitaka kutibua utiaji nia wa Mh. Tundu Lissu usifanyike siku inayofuata ?

Walitaka wamtishe nani asitie nia kuomba ridhaa ya kupitishwa na CHADEMA asiwaombe waTanzania wamfikirie hiyo nafasi ya juu kabisa ya uongozi Tanzania.

Nani angenufaika kwa Tundu Antipas Lissu kuamua kuacha kuomba ridhaa ya kuwatumikia wananchi endapo angechaguliwa.

Wee mwenzetu uko dunia gani?

Soma kwanza vizuri hicho ulichokiandika.
 
Screenshot_20200609-073304.png
 
Muroto hawezi kuwatafuta huenda yeye ndo kawatuma.Muroto kwenye status yake watsup ameweka wimbo wa ccm mbele kwa mbele.Kama wameanza hivyo na sisi tutakamata hata panya wao tuwalipizie,Upendo Gilles Muroto tunajua anapopatukana na sisi tutadeal nao kwa njia hiyo hiyo waoiyoichagua.Mwalimu Nyerere aliwahi kusema,wabaya wetu tutawashtaki kwa Mungu,Mungu asipotusikia ,tutawashtaki kwa shetani.Walianza na akina Mawazo,Ben Saanane ,Lissu na sasa Mbowe ,hatutakubali.
Ili upate lazima uwekeze, sasa huo ndio uwekezaji wa Saccos ulivyo
 
Hivi nyie CHADEMA ni chama kikuuu Cha upinzani kweli? mnaonewa mmebaki kulalamika tu wakati mna mtaji wa watu 6m? kwa ujinga huu mtanyanyaswa sana tena sana...mguse MALEMA pale kwa MADIBA uone Moto wake...mguse Raila hapa Kenya....shame on u
 
jingalao,

Mi nina mashakha hapa, kama sio mbinu ya kuwakwepa TAKUKURU basi ata wakishindwa vibaya uchaguzi watuamini mkulu wao alikuwa hospital.
 
Kama ni kweli waliowatuma ni watu wajinga sana kuna mbinu za kisiasa kuzuia watu kama Mbowe lakini si kama hizo za kuwashambulia hizo zinafanyika kwenye nchi zinazoongozwa kidkiteta na hata timing haikuwa sahihi pia hivibvikundi vya green guard, red brigade na vinavyofanana na hivyo vinatakiwa vifutwe mara moja kwani wanaojiunga navyo wengi ni wahalifu walioshindikana ambao hata nidhamu hawana
Kwani mwanaharakati huru ana akili sawa sawa? Yeye anataka amfurahishe boss hajui ndiyo ana haribu. Ameiingiza CCM çhaka sana huyu mjuba.
 
Auwaye kwa upanga, atauawa kwa upanga.

Simple,

Kama ni kikundi au ni mchezo wa mtu mmoja, siku moja Mungu atawalipa wote wanaojihusisha na maovu.

Mshahara wa dhambi ni mauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siombei itokee,ikitokea FAM akapoteza maisha kutokana na hilo shambulio,wanachama wa chama kile kama kawaida yao watasema FAM alipanga njama auwawe.
 
View attachment 1472626
View attachment 1472650

Salaam,

Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.

Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.

Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.

Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata

MAONI YANGU:
Mh. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.

Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?

We need to wake up, better late than never.
Wanataka kum Lissu😳😳
 
View attachment 1472626
View attachment 1472650

Salaam,

Taarifa nilizozipata hivi punde toka chanzo changu kinanihabarisha kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman A. Mbowe amevamiwa na kikundi cha watu wasiojulikana akielekea nyumbani kwake usiku huu na kupigwa na wamemuumiza.

Tukio hili limetokea majira ya saa 6-7 usiku.

Mhe. Mbowe amekimbizwa Hospitali ya Ntyuka iliyopo jijini Dodoma.

Kamanda Muroto amesema wamepata taarifa kuwa kavunjwa mguu wa kulia na amelazwa Wodi namba 4 hospitalini hapo. Amesema taarifa zaidi zitafuata

MAONI YANGU:
Mh. Mbowe kuvamiwa na kupigwa eneo la Area D, jijini Dodoma, Mtaa wa Sengia; linalotajwa kuwa na ulinzi wa kutosha, kama ilivyotokea kwa Lissu kunaacha maswali mengi, je, hili linaweza kuwa limechochewa na Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa JMT October 2020? Ni hasira au kitu gani? No one knows.

Bado najiuliza; hivi kama Taifa kwa tabia hizi za kihuni tunaelekea wapi? Hawa wanaojichukulia sheria mikononi kila siku wanafanya hivyo kwa kutumwa na nani? Matendo haya yataendelea kwa viongozi wa upinzani mpaka lini?

We need to wake up, better late than never.
Ohh my God

Hii nchi Hapana aisee
 
Back
Top Bottom