Pole Mbowe tujifunze kuwahi kurudi nyumbani
Mkuu, malipo ya buku 7 ni kwa siku au kwa kila reply?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Mbowe tujifunze kuwahi kurudi nyumbani
Kaka ushawishi kuporwa walau simu na vibaya timbwili linavyokuwa!!Duh kwani ni huo mguu tu au wamemdhuru na humo ndani
Sema tujifunze kunywa pombe ya kadri na siyo kuwahi kurudi nyumbani mapema mkuu
Yeah! Serikali ya KIDHALIMU ambayo imeshindwa kuchunguza kifo cha Mawazo, kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda na wengine chungu nzima pia shambulizi la lissu. Serikali ambayo ilihusika katika kuzuia malipo ya matibabu kwa lissu na pia kuhusika kumpora Ubunge wake.
MmmhTulipofikia Tanzania hatuna tofauti na Rwanda!! Usalama hasa wa wanasiasa wa Upinzani upo shakani.. kuna mtu hataki kusikia akikosolewa!! Yeye yupo sahihi daima.
Nafikiri kashfa ya bil 8 na kifo cha Chadema kinampa stress inabidi apige mtungi wa nguvuSema tujifunze kunywa pombe ya kadri na siyo kuwahi kurudi nyumbani mapema mkuu
Utaanza wewe kwanza,sote ni njia yetu.hiyoRip Nkurunzinza bado Magu
Hapana, sina maana kuwa WEWE NI MLEVIPole kwa mlevi?
Kweli umetoa poke, lakini umeongeza kebehiMkuu mbona nimetoa pole
Ni kweli, hata wao watalia tu. 'what goes around comes around'Endeleeni kuumiza wazazi, wapendwa wa wenzenu lakini mjue machozi Yao MUNGU atayafuta tu!!
Wewe utaishi milele??!!Rip Nkurunzinza bado Magu
Pole Mbowe tujifunze kuwahi kurudi nyumbani