Dodoma: NEMC yazifungia Rainbow na Chako ni Chako kwa kupiga kelele

Dodoma: NEMC yazifungia Rainbow na Chako ni Chako kwa kupiga kelele

n00b

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2008
Posts
1,015
Reaction score
2,680
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezifungia bar za wazi za Rainbow na Chako ni Chako Pub za Jiini Dodoma baada kukuta kelele zilizo kinyume cha sheria ya usimamizi wa mazingira namba 20 va mwaka 2004 na kanuni ya viwango vya udhibiti wa kelele na mtetemo ya mwaka 2015.

Akiongea leo Dodoma katika oparesheni hiyo Saida Madusi Afisa Mkaguzi wa Mazingira wa NEMC Kanda ya Kati, amesema walifanya ukaguzi huo maïra ya saa tisa usiku na kukuta ukiukwaii wa sheria hivo "Sheria hivo inasema maeneo ambayo yanazunguka maeneo ya Watu na kuna biashara kelele zinatakiwa kuwa 60 DBA wakati wa mchana na 40 usiku, tumefanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali va biashara valiyo jirani na makazi ya Watu"

"Tumefika hapa tumekuta kelele zimefika mpaka 68 DBA na zilikuwa zinasikika hadi nie na tumetembela Mairani walikuwa wanalalamika hizo kelele, sasa tumewaagiza Jumatatu wafike Ofisi za NEMC Kanda ya Kati"
 
Unaambia wa dada wa mikoani wanapitia unyanyasiji wa maumivu makali sana wa namna hii👇🏻
FvbuzQ9XwAExjKb.jpeg
kwenye hizo baa. Bora wazifungie
 
FvdfpiDXsAcK6BX.jpg
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezifungia bar za wazi za Rainbow na Chako ni Chako Pub za Jijini Dodoma baada kukuta kelele zilizo kinyume cha sheria ya usimamizi wa mazingira namba 20 ya mwaka 2004 na kanuni ya viwango vya udhibiti wa kelele na mtetemo ya mwaka 2015. Akiongea leo Dodoma katika oparesheni hiyo Saida Madusi Afisa Mkaguzi wa Mazingira wa NEMC Kanda ya Kati, amesema walifanya ukaguzi huo majira ya saa tisa usiku na kukuta ukiukwaji wa sheria hiyo “Sheria hiyo inasema maeneo ambayo yanazunguka maeneo ya Watu na kuna biashara kelele zinatakiwa kuwa 60 DBA wakati wa mchana na 40 usiku, tumefanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali ya biashara yaliyo jirani na makazi ya Watu” “Tumefika hapa tumekuta kelele zimefika mpaka 68 DBA na zilikuwa zinasikika hadi nje na tumetembela Majirani walikuwa wanalalamika hizo kelele, sasa tumewaagiza Jumatatu wafike Ofisi za NEMC Kanda ya Kati”

Rai yangu vipi na haya makanisa ya kilokole au yenyewe yana sheria tofauti. Maana yenyewe si mchana wala usiku kama hapa nilipo kila ijumaa huwa wanakesha. Ni kelele mtindo mmoja, halafu ukienda kuanagalia humo kanisani watu hawafiki hata 10.
 
View attachment 2612455Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezifungia bar za wazi za Rainbow na Chako ni Chako Pub za Jijini Dodoma baada kukuta kelele zilizo kinyume cha sheria ya usimamizi wa mazingira namba 20 ya mwaka 2004 na kanuni ya viwango vya udhibiti wa kelele na mtetemo ya mwaka 2015. Akiongea leo Dodoma katika oparesheni hiyo Saida Madusi Afisa Mkaguzi wa Mazingira wa NEMC Kanda ya Kati, amesema walifanya ukaguzi huo majira ya saa tisa usiku na kukuta ukiukwaji wa sheria hiyo “Sheria hiyo inasema maeneo ambayo yanazunguka maeneo ya Watu na kuna biashara kelele zinatakiwa kuwa 60 DBA wakati wa mchana na 40 usiku, tumefanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali ya biashara yaliyo jirani na makazi ya Watu” “Tumefika hapa tumekuta kelele zimefika mpaka 68 DBA na zilikuwa zinasikika hadi nje na tumetembela Majirani walikuwa wanalalamika hizo kelele, sasa tumewaagiza Jumatatu wafike Ofisi za NEMC Kanda ya Kati”

Rai yangu vipi na haya makanisa ya kilokole au yenyewe yana sheria tofauti. Maana yenyewe si mchana wala usiku kama hapa nilipo kila ijumaa huwa wanakesha. Ni kelele mtindo mmoja, halafu ukienda kuanagalia humo kanisani watu hawafiki hata 10.

Chanzo 👇👇👇
#MillardAyoUPDATES
Ungetuwekea na picha za wabunge ama viongozi wa serikali waliokuwemo humo huo usiku wa manane na mahawara zao tuwapige mawe.
 
View attachment 2612455Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezifungia bar za wazi za Rainbow na Chako ni Chako Pub za Jijini Dodoma baada kukuta kelele zilizo kinyume cha sheria ya usimamizi wa mazingira namba 20 ya mwaka 2004 na kanuni ya viwango vya udhibiti wa kelele na mtetemo ya mwaka 2015. Akiongea leo Dodoma katika oparesheni hiyo Saida Madusi Afisa Mkaguzi wa Mazingira wa NEMC Kanda ya Kati, amesema walifanya ukaguzi huo majira ya saa tisa usiku na kukuta ukiukwaji wa sheria hiyo “Sheria hiyo inasema maeneo ambayo yanazunguka maeneo ya Watu na kuna biashara kelele zinatakiwa kuwa 60 DBA wakati wa mchana na 40 usiku, tumefanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali ya biashara yaliyo jirani na makazi ya Watu” “Tumefika hapa tumekuta kelele zimefika mpaka 68 DBA na zilikuwa zinasikika hadi nje na tumetembela Majirani walikuwa wanalalamika hizo kelele, sasa tumewaagiza Jumatatu wafike Ofisi za NEMC Kanda ya Kati”

Rai yangu vipi na haya makanisa ya kilokole au yenyewe yana sheria tofauti. Maana yenyewe si mchana wala usiku kama hapa nilipo kila ijumaa huwa wanakesha. Ni kelele mtindo mmoja, halafu ukienda kuanagalia humo kanisani watu hawafiki hata 10.

Chanzo 👇👇👇
#MillardAyoUPDATES
Hata Misikiti. Ni kero asubuhi tunaamshwa kuwa kuna Swala. Haya mambo waangalie yanatunyima sisi wengine utulivu Makanisa, Misikiti nayo saa mbili na kumi na moja asubuhi ni kelele tu.
 
Back
Top Bottom