Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wawapige picha watafute ajili nyingine ile ya naibu waziri haijatosha?Ungetuwekea na picha za wabunge ama viongozi wa serikali waliokuwemo humo huo usiku wa manane na mahawara zao tuwapige mawe.
Wabunge wetu ni malaya mno na ndiyo maana siwathamini hata kidogo, nikisia tu mbunge au waziri anakuja kuhutubia sehemu sikai na kusikiliza upuuzi wake.Wawapige picha watafute ajili nyingine ile ya naibu waziri haijatosha?
Walau umesema asubuhi,kelele za misikiti ni predictable zinajadilika,na hazizidi dk 5 na sometimes hutusaidia kuwah mihangaiko!!sasa kanisa linakesha kuanzia saa moja usiku mpaka asubuhi tena mtu anaweka cd halafu anaondoka anawaachia msala[emoji1787]Hata Misikiti. Ni kero asubuhi tunaamshwa kuwa kuna Swala. Haya mambo waangalie yanatunyima sisi wengine utulivu Makanisa, Misikiti nayo saa mbili na kumi na moja asubuhi ni kelele tu.
Luiza Mbutu hukumsikia siku ile ya TMA anamlilia mama, walipigwa PIN watalisha wapi family zao, kifanyike utaratibu wa soundproof km inavyokua kwenye nightclub ukiwa nje nightclub husikii mziki wowote Ila ukiingia ndani unasikizia mziki au mtu alifungua mlango ndio unasikia mziki unapiga ndani Ila nje ni kimya kabisa, sijui wamejengaje yale majengoTunaomba na NEMC wa Dar waamke manake wamelala. Loh
Waweke soundproof wajichimbie ndani ukoNadhan target ni rainbow. Wanamziki mzuri sana.
Furaha yenu isiwe kero kwa wengine.Saida acha watu wafurahi
Wakuje na huku uswahilini hatulali kwa mikesha wakadai ni ibada kila siku toka jumatatu hadi jumatatuBaraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezifungia bar za wazi za Rainbow na Chako ni Chako Pub za Jiini Dodoma baada kukuta kelele zilizo kinyume cha sheria ya usimamizi wa mazingira namba 20 va mwaka 2004 na kanuni ya viwango vya udhibiti wa kelele na mtetemo ya mwaka 2015.
Akiongea leo Dodoma katika oparesheni hiyo Saida Madusi Afisa Mkaguzi wa Mazingira wa NEMC Kanda ya Kati, amesema walifanya ukaguzi huo maïra ya saa tisa usiku na kukuta ukiukwaii wa sheria hivo "Sheria hivo inasema maeneo ambayo yanazunguka maeneo ya Watu na kuna biashara kelele zinatakiwa kuwa 60 DBA wakati wa mchana na 40 usiku, tumefanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali va biashara valiyo jirani na makazi ya Watu"
"Tumefika hapa tumekuta kelele zimefika mpaka 68 DBA na zilikuwa zinasikika hadi nie na tumetembela Mairani walikuwa wanalalamika hizo kelele, sasa tumewaagiza Jumatatu wafike Ofisi za NEMC Kanda ya Kati"
Kelele hata kwa dk 1 ni kelele. Ukishaamshwa usingizini au mtoto akiamshwa ni ngumu kulala anasumbua. Yaani ni kero sana ukijenga nyumba au ukipanga maeneo ya namna hiyo.Walau umesema asubuhi,kelele za misikiti ni predictable zinajadilika,na hazizidi dk 5 na sometimes hutusaidia kuwah mihangaiko!!sasa kanisa linakesha kuanzia saa moja usiku mpaka asubuhi tena mtu anaweka cd halafu anaondoka anawaachia msala[emoji1787]