Dodoma ni eneo la bonde la ufa, ujenzi wa majengo uzingatie tahadhari za matetemeko ya ardhi

Dodoma ni eneo la bonde la ufa, ujenzi wa majengo uzingatie tahadhari za matetemeko ya ardhi

Kweli kabisa jana na juzi yamepita matetemeko mara mbili kwa mtiririko huo. Kuna uwezekano wanaokufa kwenye matetemeko huwa wanapigwa butwaa manake yalivyotokea badala yakutoka nje nikawa nalisikilizia.
 
Eneo gani sio la bonde la ufa Tanzania hii

USSR
Mtwara,Lindi,Dar,Tanga,mwanza,Shinyanga,Tabora
images-97.jpeg
 
Back
Top Bottom