Dodoma ni eneo la bonde la ufa, ujenzi wa majengo uzingatie tahadhari za matetemeko ya ardhi

Kweli kabisa jana na juzi yamepita matetemeko mara mbili kwa mtiririko huo. Kuna uwezekano wanaokufa kwenye matetemeko huwa wanapigwa butwaa manake yalivyotokea badala yakutoka nje nikawa nalisikilizia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…