Dodoma: Peter Mwakiposile amuua mkewe kisa Kikoba

Dodoma: Peter Mwakiposile amuua mkewe kisa Kikoba

Poleni Sana, Vikoba Shida Sana
Ki ukweli haya mambo ya vikoba/michezo ya kukopeshana kwa wanawake kwa sasa ni tatizo kubwa sana!!yaani ikifika siku ya marejesho mtu hatulii kabisa!!siku moja nimekutana na dada mmoja tandika simjui hanijui, akanisimamisha na kuniomba hata 2000 kwani jioni anatakiwa awe ametimiza 25, 000 za mchezo!!sasa hapo kuna nini??
 
Aaah wapi Vicoba vifungiwe tu
Ndio nmekwambia saaasa nmetia komeo sitoi pesa ya kikoba tangu juzi kanuna anasema wanampiga faini sijui nini uko wanajua wenyewe nmemwambia Vicoba baaasi acha Vicoba yeye analazimisha lazima Kikoba sasa Kikoba kina nini?
Pole sana ndugu yangu, naona kabisa unavyoumia. Mwache apambane na vicoba vyake mwenyewe ila sasa......
Kama hana kipato cha kueleweka atafanya kila means apate pesa ya marejesho. Pole zaidi😆😆😆
 
Pole sana ndugu yangu, naona kabisa unavyoumia. Mwache apambane na vicoba vyake mwenyewe ila sasa......
Kama hana kipato cha kueleweka atafanya kila means apate pesa ya marejesho. Pole zaidi😆😆😆
Kazi anayo kwa hio atajua mwenyewe anafanyaje na Vicoba vyake maana ukipiga mwisho ndio eeenhe hivyo mwisho unajikuta Segerea Keko
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia Peter Mwakiposile kwa tuhuma za kumuua mkewe Aisha Ramadhani mkazi wa Chidachi kwa kumpiga hadi kufariki, kwa kosa la kuchelewa kurudi nyumbani akitafuta fedha za rejesho la kikundi cha kikoba.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma ACP Martin Otieno ameeleza kuwa mtuhumiwa yupo chini ya ulinzi wakati akisubiri taratibu za kufikishwa Mahakamani huku mwili wa marehemu Aisha Ramadhani ukiwa umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma kwa taratibu za mazishi.

View attachment 2348696
He's not a man but a coward child
 
Kama huna akili kwann uoe? Ndoa inataka mtu mwenye akili, SAsa anadhani ndugu wa mke nao watamuacha tu kawaulia ndugu yao
 
Last year wife alinishirikisha kwenye hiyo vicoba nikampa go ahead sasa bana kumbe alichukua vitabu kumi badala ya vitabu vitano tulivyokubaliana.
To make story short mke wangu akawa kama chuma ulete kila pesa unayompa haimtoshi iwe matumizi ya nyumbani na watoto au pesa ya matumizi yake binafsi akawa yuko busy sana hatulii nyumbani mtu ukirudi home msosi haueleweki na mbaya zaidi akafikia hatua ya kutumia pesa ya ada ya watoto ya term nzima kimyakimya....
Ningekurupuka kwenye maamuzi bila kuchunguza mzizi wa tatizo ningeishia pabaya aisee
 
Mwanaume anakuoa hakuna cha nguo wala mafuta ya kupaka... sana sana ukimpata ambaye kidoooooogo mwenye afadhali atakulipia ada tu za watoto na chakula cha home mengine utajiju.

Sasa huyu mwanamke jobless na mwenye mahitaji yake muhimu ataishije bila vikundi vya kujiwekea akiba na kukopa?
Msitafute visingizo kwahiyo unataka kusema wanaocheza vikoba waume zao hawahudumii mnaendekeza tamaa zisizo na msingi
 
Mwanaume anakuoa hakuna cha nguo wala mafuta ya kupaka... sana sana ukimpata ambaye kidoooooogo mwenye afadhali atakulipia ada tu za watoto na chakula cha home mengine utajiju.

Sasa huyu mwanamke jobless na mwenye mahitaji yake muhimu ataishije bila vikundi vya kujiwekea akiba na kukopa?
Sitetei mauaji lakini naomba kufahamu kutoka kwako, kwani VIKOBA ni ajira?
 
Sio wote japo wapo wengi tu wana tabia ya kujiuza ili kupata hisa au rejesho.

Kama ambavyo kuna faida hasara pia hazikosekani.

Ila wapo ambao vicoba vimewabeba sana sana nikiwemo mimi hapa.

Tena kicoba cha halali kabisaa
Pesa za VIKOBA huwa mnapata wapi?
 
Kikoba hauchezi wewe inacheza biashara, if you don't have proper source of income achana na hivi vitu.
 
Back
Top Bottom