white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Ki ukweli haya mambo ya vikoba/michezo ya kukopeshana kwa wanawake kwa sasa ni tatizo kubwa sana!!yaani ikifika siku ya marejesho mtu hatulii kabisa!!siku moja nimekutana na dada mmoja tandika simjui hanijui, akanisimamisha na kuniomba hata 2000 kwani jioni anatakiwa awe ametimiza 25, 000 za mchezo!!sasa hapo kuna nini??Poleni Sana, Vikoba Shida Sana
Pole sana ndugu yangu, naona kabisa unavyoumia. Mwache apambane na vicoba vyake mwenyewe ila sasa......Aaah wapi Vicoba vifungiwe tu
Ndio nmekwambia saaasa nmetia komeo sitoi pesa ya kikoba tangu juzi kanuna anasema wanampiga faini sijui nini uko wanajua wenyewe nmemwambia Vicoba baaasi acha Vicoba yeye analazimisha lazima Kikoba sasa Kikoba kina nini?
Kazi anayo kwa hio atajua mwenyewe anafanyaje na Vicoba vyake maana ukipiga mwisho ndio eeenhe hivyo mwisho unajikuta Segerea KekoPole sana ndugu yangu, naona kabisa unavyoumia. Mwache apambane na vicoba vyake mwenyewe ila sasa......
Kama hana kipato cha kueleweka atafanya kila means apate pesa ya marejesho. Pole zaidi😆😆😆
He's not a man but a coward childJeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia Peter Mwakiposile kwa tuhuma za kumuua mkewe Aisha Ramadhani mkazi wa Chidachi kwa kumpiga hadi kufariki, kwa kosa la kuchelewa kurudi nyumbani akitafuta fedha za rejesho la kikundi cha kikoba.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma ACP Martin Otieno ameeleza kuwa mtuhumiwa yupo chini ya ulinzi wakati akisubiri taratibu za kufikishwa Mahakamani huku mwili wa marehemu Aisha Ramadhani ukiwa umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma kwa taratibu za mazishi.
View attachment 2348696
Mwezi wa kafara🤣🤣🤣🤣🤣
Qqqmmk huu mwaka ndio upo robo tatu ila matukio kama yote
Kumbe unaongea vitu usiojua uhalisia wakeSijaolewa mimi
Acha ukabilaMwakiposile kwanini unatuaibisha watu wa Mbeya?
Wewe ni wa Kyela au Tukuyu!?
Yeye ni wa magereza mpaka kufa kwake nawaonea huruma watoto wana baki bila mama bila baba.Mwakiposile kwanini unatuaibisha watu wa Mbeya?
Wewe ni wa Kyela au Tukuyu!?
Hoja imelala hapaKwa kosa la kuchelewa kurudi nyumbani akitafuta fedha za rejesho la kikundi cha kikoba.
Kuchelewa kwa muda gani? Na akitafuta fedha wapi?? Kwa nani? Anatafuta vipi?
Msitafute visingizo kwahiyo unataka kusema wanaocheza vikoba waume zao hawahudumii mnaendekeza tamaa zisizo na msingiMwanaume anakuoa hakuna cha nguo wala mafuta ya kupaka... sana sana ukimpata ambaye kidoooooogo mwenye afadhali atakulipia ada tu za watoto na chakula cha home mengine utajiju.
Sasa huyu mwanamke jobless na mwenye mahitaji yake muhimu ataishije bila vikundi vya kujiwekea akiba na kukopa?
Sitetei mauaji lakini naomba kufahamu kutoka kwako, kwani VIKOBA ni ajira?Mwanaume anakuoa hakuna cha nguo wala mafuta ya kupaka... sana sana ukimpata ambaye kidoooooogo mwenye afadhali atakulipia ada tu za watoto na chakula cha home mengine utajiju.
Sasa huyu mwanamke jobless na mwenye mahitaji yake muhimu ataishije bila vikundi vya kujiwekea akiba na kukopa?
Pesa za VIKOBA huwa mnapata wapi?Sio wote japo wapo wengi tu wana tabia ya kujiuza ili kupata hisa au rejesho.
Kama ambavyo kuna faida hasara pia hazikosekani.
Ila wapo ambao vicoba vimewabeba sana sana nikiwemo mimi hapa.
Tena kicoba cha halali kabisaa
Muulize mkeoPesa za VIKOBA huwa mnapata wapi?