Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Nilifuatilia sana izi ishu kwa utafiti wangu mi sielewi mifumo ya vikoba ila naona ishu inaleta majanga sana katika ndoa ...kipindi niko primary tulikuwa na mchezo wa kutoka mtu kila wiki tulikuwa tunaita 'KIBATI" sasa sijajua ni sawa na huu au?