Dodoma: Photos of Benjamin Mkapa Hospital, East Africa's milestone in medical field

Dodoma: Photos of Benjamin Mkapa Hospital, East Africa's milestone in medical field

Hakumaanishi Kama misri na Morocco ni waarabu Sasa Wana quality health care.
Kenya being number 3 in Africa is something I will agree. You are telling Kenyan health systems are better that Algeria! !! The most advanced country in Africa? ? Better than Morocco? ??

Never.!!!!

When this battle wa KE vs TZ....it was KE 1- TZ 0..... but now you are going out line !!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I agree with you,
Infact UDOM nzima ni one of the historical Legacy aliyoacha JK.

Sent using Jamii Forums mobile app
For what cost? Na legacy ipi hiyo? haikuwa na usimamizi mzuri watu walipiga kwenye miradi hii japo nia ilikuwa nzuri ndo maana mpaka leo unaona JPM anangaika ku-cancel out mikataba ya kijinga kama nyumba za NSSF Kigamboni! Bandarini sasa kodi inakusanywa si kipindi JPM anaingia zile kampuni binafsi za inland container binafsi zilikuwa zinafanya uharamia! Hata Rostam Aziz TICTS imesaini mkataba mpya na TPA na kutupilia mbali ule wa unyonyaji!

https://www.ippmedia.com/en/news/ticts-now-pay-double-rental-fee-tpa-under-new-lease-deal
 
For what cost? Na legacy ipi hiyo? haikuwa na usimamizi mzuri watu walipiga kwenye miradi hii japo nia ilikuwa nzuri ndo maana mpaka leo unaona JPM anangaika ku-cancel out mikataba ya kijinga kama nyumba za NSSF Kigamboni! Bandarini sasa kodi inakusanywa si kipindi JPM anaingia zile kampuni binafsi za inland container binafsi zilikuwa zinafanya uharamia! Hata Rostam Aziz TICTS imesaini mkataba mpya na TPA na kutupilia mbali ule wa unyonyaji!

TICTS now to pay double rental fee to TPA under new lease deal

Uko sahihi sana. JK lile kundi la kina Lowassa na Rostam lililo msaidia kumshinda Dr Salim Ahmed Salim ndio kundi la uharamia mno na nafikiri ndio chanzo cha yeye kushindwa kusimamia chochote vyema.

Hii TICTS huko Bandarini, hivi Nazir Karamagi anasimama kama nani kwenye hii kampuni?
 
Imagine being the first country in Africa


Bieng the first to what? to pass effective laws that govern how medical products are produced and distributed? well congratulations on that... Wacha sisi tupambane na kutibu magonjwa kutumia dawa zinazofaa mwanzo alafu tukimaliza ndo tuje huko kwenu kwa sheria mwafaka.
 
Over the last decade, Tanzania has proved leadership in healthcare services and delivery in the entire East Africa

To ensure the accessibility of advanced medical services, Tanzania invested heavily in construction of infrastructures and the Human Resource, as well as the modern medical equipments.

The Number of Tanzanians travelling abroad for medical reasons has been significantly reduced and the Number of Neighbouring countries citizens seeking medical services in Tanzania has been increasing on monthly bases


Tanzania recently lounched The Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma that has seccessfuly performed several Kidney transplants among other services

In addition to that, Mloganzila Medical centre, Muhimbili Orthopedic Institute, Ocean Road Cancer Institute, Jakaya Kikwete Cardiac Institute has been well established receiving hundreds of patients from Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia , Congo and other neighbouring countries that could spend more costs on travelling to India or South Africa for medical reasons

Attached are the pictures of the Benjamin Mkapa hospital for your impression





Mkoloni aliondoka na akili zao [emoji23] [emoji23] [emoji23]






Najaribu tu kuimagine kama Tundu Lissu tungempeleka apo mnapopasifia kwa uzuri was majengo tu Ben Mkapa Dom au uko Muhimbili Dar nadhani saiv tungekua tunasema ''enzi za hayati Tundu Lissu bhanaa upinzani ulikuwa na nguvu sana [emoji16][emoji16][emoji16]''

Wacheni utani bhanaaa, Wakenya wameokoa maisha ya Tundu Lissu kwa 70% ndo wakaenda kumalizia uko mambele...

Tusijifananishe na wakenya hata robo, eti kisa tu tumeejenga hospital ya ghorofa hehehehehe.

Sent using Jamii Forums mobile app




Watanzania wengine sometimes huwa mnakua na kaushamba flani vile, sasa kwavile mmefungua hospitali mpya ndo basi mshaipiku Kenya kwa sector ya Afya? Hivi mbona bado watanzania wengi wanakufa kwa magonjwa kuliko wakenya?


Hebu tuangalie hizi takwimu hapa ndo mjue vile bado Tanzania mko nyuma sana kwa sector ya Afya kulinganisha na Kenya. Lakini ukilinganisha na nchi za magaribi au hata SA, sote tuko nyuma sana!



General Surgions

Kenya - 257
Tanzania - 63
Majina yao utayapata hapa Browse for healthcare providers – select a country



Nuclear Medicine specialist

Kenya - 1
Tanzania - 1




Vascular Surgeon

Kenya - 0
Tanzania - 0


Radiologist

Kenya - 68
Tanzania - 22
Browse for healthcare providers – select a country



Neurosurgeon

Kenya - 24
Tanzania - 7
Browse for healthcare providers – select a country


Ear, Nose & Throat Surgeon (ENT)
Kenya - 92
Tanzania - 40
Browse for healthcare providers – select a country


Cardiologist
Kenya - 67
Tanzania- 51


Cardiac & Thoracic Surgeon
Kenya - 16
Tanzania - 11
Browse for healthcare providers – select a country




Anaesthetist --- (Sidhani kama unawezakufanya upasuaji wowote mgumu wa kisasa bila hawa jamaa)

Kenya - 185
Tanzania - 16





-----------------------------
Yani kwa kifupi hakuna mahali Tanzania imeishinda kenya kwa wataalam wa Afya, sasa sijui hayo majengo ya hospitali mnajengea nani
 
Bieng the first to what? to pass effective laws that govern how medical products are produced and distributed? well congratulations on that... Wacha sisi tupambane na kutibu magonjwa kutumia dawa zinazofaa mwanzo alafu tukimaliza ndo tuje huko kwenu kwa sheria mwafaka.
Yanayofaa? Kunyaland imegundua dawa ya COVID-19? do u listen to urself how stupid do u sound? Aside remediation towards raising one's immunity viral diseases have never had cure! JPM with a PHD in Chemistry knows that!
 
Watanzania wengine sometimes huwa mnakua na kaushamba flani vile, sasa kwavile mmefungua hospitali mpya ndo basi mshaipiku Kenya kwa sector ya Afya? Hivi mbona bado watanzania wengi wanakufa kwa magonjwa kuliko wakenya?


Hebu tuangalie hizi takwimu hapa ndo mjue vile bado Tanzania mko nyuma sana kwa sector ya Afya kulinganisha na Kenya. Lakini ukilinganisha na nchi za magaribi au hata SA, sote tuko nyuma sana!



General Surgions

Kenya - 257
Tanzania - 63
Majina yao utayapata hapa Browse for healthcare providers – select a country



Nuclear Medicine specialist

Kenya - 1
Tanzania - 1




Vascular Surgeon

Kenya - 0
Tanzania - 0


Radiologist

Kenya - 68
Tanzania - 22
Browse for healthcare providers – select a country



Neurosurgeon

Kenya - 24
Tanzania - 7
Browse for healthcare providers – select a country


Ear, Nose & Throat Surgeon (ENT)
Kenya - 92
Tanzania - 40
Browse for healthcare providers – select a country


Cardiologist
Kenya - 67
Tanzania- 51


Cardiac & Thoracic Surgeon
Kenya - 16
Tanzania - 11
Browse for healthcare providers – select a country




Anaesthetist --- (Sidhani kama unawezakufanya upasuaji wowote mgumu wa kisasa bila hawa jamaa)

Kenya - 185
Tanzania - 16





-----------------------------
Yani kwa kifupi hakuna mahali Tanzania imeishinda kenya kwa wataalam wa Afya, sasa sijui hayo majengo ya hospitali mnajengea nani
Takwimu za zamani sana hizo 😁😁😁😁
 
Yanayofaa? Kunyaland imegundua dawa ya COVID-19? do u listen to urself how stupid do u sound? Aside remediation towards raising one's immunity viral diseases have never had cure! JPM with a PHD in Chemistry knows that!
Yes, kutumia dawa zinzazofaa, as in accuracy in diagnosing and prescribing treatment... nyinyi mnagawanya dawa vizuri mkitumia guidlines mlizojiwekea alafu madawa yakifika kwa mahospitali, madaktari wenu wanashindwa ku diagnose magonjwa na wanaishia kupatia watudawa ambazo hata hazifai 😇

1588006878275.png




Alafu kuhusu mambo ya research za viral disease, Tanzania haina Level 3 research facility hata moja, kwahivyo wachia mambo ya utafiti kwa wataalam wanaojua,
 
Yes, kutumia dawa zinzazofaa, as in accuracy in diagnosing and prescribing treatment... nyinyi mnagawanya dawa vizuri mkitumia guidlines mlizojiwekea alafu madawa yakifika kwa mahospitali, madaktari wenu wanashindwa ku diagnose magonjwa na wanaishia kupatia watudawa ambazo hata hazifai 😇

View attachment 1432669



Alafu kuhusu mambo ya research za viral disease, Tanzania haina Level 3 research facility hata moja, kwahivyo wachia mambo ya utafiti kwa wataalam wanaojua,
source?
 
Back
Top Bottom