Dodoma: Photos of Benjamin Mkapa Hospital, East Africa's milestone in medical field

Dodoma: Photos of Benjamin Mkapa Hospital, East Africa's milestone in medical field

Binafsi nimecheka sana nimeamini wakenya 10 wakiungana pamoja wanawanyamazisha WTZ 100[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana kajamaa Ni kamoja tu lakini kanatema checheeee.


Mleta Uzi kapaniki tayari.
Aisee, kauzi kamewageukia. 😀 Very insecure people mada wameileta wenyewe kwenye jukwaa hili alafu wakipewa dozi wanaanza kulia lia kwamba wamevamiwa. [emoji1] Safi sana @Kevin85fy, wape wape vidonge vyao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mkenya kajisemea "Tanzania has a generally intellectually handicapped population" .Hata kama inaumiza nakubaliana nae 100%.
Majority ya watanzania wana profound mental retardation.
Umejuaje km inaumiza wkt ww una mental retardation, chizi yyte duniani doesn't feel any pain hata umtukane vp.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Binafsi nimecheka sana nimeamini wakenya 10 wakiungana pamoja wanawanyamazisha WTZ 100[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana kajamaa Ni kamoja tu lakini kanatema checheeee.


Mleta Uzi kapaniki tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mkenya anaetamba mbele ya mtz timamu, fuatilia nyuzi zote humu zinazohusu haya mambo huwa hawatambi kabisa, zaidi ya hapo Jf imewasaidia sana Wakenya kuwabadili mindset zao over Tanzanians, walidhani kujua broken English ndo wanajua kila kitu but nowadays kuna kitu wamejifunza toka kwa WaTz.
 
Mkuu unapoteza muda kujibizana na mazezeta,
Jitu linalojidharau ni aibu kwa Jamii na ukoo wake.
Hakuna mkenya anaetamba mbele ya mtz timamu, fuatilia nyuzi zote humu zinazohusu haya mambo huwa hawatambi kabisa, zaidi ya hapo Jf imewasaidia sana Wakenya kuwabadili mindset zao over Tanzanians, walidhani kujua broken English ndo wanajua kila kitu but nowadays kuna kitu wamejifunza toka kwa WaTz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are so dumb dogo, Let me teach you, we have Ph.Ds and Professors in Nursing and midwifery practice, Sasa tukisema eti sababu we don't have COs in our referral Hospital basi is the same as not having a Nurses is pathetic. A medical doctor is not above the Nurse or vice versa, their roles are quite different and you can't mix the two. inaonekana Nzige wameleta njaa imewavuruga vichwa, vimejaa kamasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Dude now you are just looking to have those local ignorance filled chats you are used to in your villages. Come back and talk like a man when you have something of value to add.
You doubted that kenya beats egypt in health care and i gave you the report and graphical presentation of the report.
In other words you are a failure generally in life and your frustrations are displayed here for everyone to see.
 
[emoji706]
Dude now you are just looking to have those local ignorance filled chats you are used to in your villages. Come back and talk like a man when you have something of value to add.
You doubted that kenya beats egypt in health care and i gave you the report and graphical presentation of the report.
In other words you are a failure generally in life and your frustrations are displayed here for everyone to see.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nimecheka sana nimeamini wakenya 10 wakiungana pamoja wanawanyamazisha WTZ 100[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana kajamaa Ni kamoja tu lakini kanatema checheeee.
Mleta Uzi kapaniki tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1] Noma sana, ni burudani tosha. Wakifunika jamaa anafunua, wakienda kusini yupo, kaskazini aliwasili zamani. Wanasema ni kama video ni kama drama.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Noma sana, ni burudani tosha. Wakifunika jamaa anafunua, wakienda kusini yupo, kaskazini aliwasili zamani. Wanasema ni kama video ni kama drama.
Naona adabu ss imewakaa mpk mnatoa kauli za kujifariji huwa nafurahi sn [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Given I have tight deadlines to meet today. I will summarize my points for all Tanzanians.

i) You will always and forever play second fiddle to Kenya ie We will always rule east africa
ii) You are not ready intellectually or economically to swim with sharks, play in your league (Zambia, Mozambique,Burundi and Uganda)
 
Given I have tight deadlines to meet today. I will summarize my points for all Tanzanians.

i) You will always and forever play second fiddle to Kenya ie We will always rule east africa
ii) You are not ready intellectually or economically to swim with sharks, play in your league (Zambia, Mozambique,Burundi and Uganda)
Mbn umepanic [emoji205] Kevin85ify ucwe hvyo bhn mmeyataka wenyewe kupambana na nchi kubwa nchi tajiri kuliko nyie so pull up ur Sox Tz is back on its original position[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Given I have tight deadlines to meet today. I will summarize my points for all Tanzanians.

i) You will always and forever play second fiddle to Kenya ie We will always rule east africa
ii) You are not ready intellectually or economically to swim with sharks, play in your league (Zambia, Mozambique,Burundi and Uganda)
Hamuwezi kupambana na Tz chini ya jiwe kamwe hamuwezi nawaambia kilichobaki ni kufurahia mwisho mwisho data za Google ambazo bado hazijawa updated but after two years mtalia sn ila baadaye mtazoea mana ata cc tulishangaa mlipotuacha baadhi ya maeneo, hasa baada ya kutoka Nyerere madarakani lkn tulizoea, so na nyie mtazoea tu, na nkwambie hamtoikalibia Tz kwa chochote labda kwny mchezo wa kitumwa wa kukimbia ambao hata hivyo hatupo serious nao lkn kwny hz sekta nyingine za kiuchumi msahau nawaambia.
 
Kiukweli linapokuja suala la afya tanzania tunajitahidi kuwekeza. Mloganzila ni kama mbele, Musoma na Mtwara wako wanamalizia facilities na hata ukiziona tu unajua sio mchezo. Bado private players ,Bugando aghakan (mwnz na dar) wamefanya uwekezaji sio wa kitoto. Cha muhimu serikali iongeze nguvu kwa watumishi,soon madaktari 1000 wanaingia mzigoni. Mungu ibariki hii nchi
Tatizo ni kuwa Watanzania wengi bado hawamudu gharama za matibabu, suala la bima ya afya kwa kila Mtanzania lifanyiwe kazi ili matunda haya yawafikie hata wale walala hoi

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom