Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Hapana Mkuu ni Tembenasikia ikulu mpya ni mgongo wa tembo,huu ubunifu unaonyesha utamaduni halisi wa mtanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Mkuu ni Tembenasikia ikulu mpya ni mgongo wa tembo,huu ubunifu unaonyesha utamaduni halisi wa mtanzania
We subiria kudeki barabara 2020.... Haya mambo mengine yapo beyond your scope.Kwani si alisema atahamia kabla mwaka 2018 haujaisha?
Tuna Rais chenga mpaka anatushawishi tule mabange hehehe😣
NukuuKwani si alisema atahamia kabla mwaka 2018 haujaisha?
Tuna Rais chenga mpaka anatushawishi tule mabange hehehe[emoji21]
Nakuelewa kiongozi, Magu anajichanganya sana, anadhani mabange kila mtu anaweza kuvuta.Nukuu
NA MIMI NAKUJA DODOMA, NILICHELEWA KIDOGO KWA SABABU NAUGULIWA NA MAMA YANGU AMBAYE HADI SASA HAWEZI KUONGEA HAWEZI KUFANYA CHOCHOTE, LAKINI KWA SASA NAHAMIA DODOMA, SIPO MBALI NI KAMA NIMESHAHAMIA TU. FIDIA ZILIPWE..- Magufuli.
Mama yake anaishi naye Magogoni? Au gharama za kuhamia Dom zilihamia kwa matibabu ya Mama yake?
NB: Sijakuuliza wewe niliyekuquote, ila nimehoji hii sababu yake, wajuzi watudadavulie
Magu kubadilika tabia yake ni vigumu sana. Kashakuwa chronicNakuelewa kiongozi, Magu anajichanganya sana, anadhani mabange kila mtu anaweza kuvuta.
Mama magu kiukweli maisha yake yako ukingoni ameshamaliza kazi iliyomleta duniani abarikiwe, amkanye mwanae aache kiburi na mabavu kabla hajaondoka.
Na mimi natamani kuziona ila hukawii kuambiwa ni marufuku kupiga/kuona picha kwa sababu za kiusalamaPicha ziko wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe mwehu kabisaaaa, utakuwa ni mwana chadema wewe.
Nyie kila kitu kupinga tu,
Tuoneshe kibanda chako ulichojenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuhoji tu mpaka 2025Hata mimi najiuliza kwann raisi ana ulinzi mkubwa kiasi kile anachohofia ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh Mama Samia nae kaingia kwenye siasa za namna hii aisee..Sad indeedMakamu wa rais Samia Suluhu Hassan ameshangazwa na baadhi ya watu wanaoacha kujadili maendeleo yanayoletwa na rais kwa nchi yetu na kujadili ulinzi wa rais Magufuli!.
Mshangao huo wa Samia umekuja baada Freeman Mbowe kuonekana akihoji kwa nini ulinzi wa rais Magufuli umekuwa mkubwa sana!, mama Samia amewataka Chadema na watanzania wengine wenye roho za korosho kwa maendeleo ya nchi yetu kubadilika na kuanza kutangaza maendeleo ya nchi badala ya kutangaza upuuzi wa kuhoji ulinzi wa rais!
![]()
VIDEO: Samia: Wanaoohoji ulinzi wa Rais wamefilisika
Makamo wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameonyesha kushangazwa na watu wanaohoji kuhusu ulinzi wa Rais John Magufuli huku akiwataka kutumia muda huo kutafakari kazi kubwa anayoifanya.mobile.mwananchi.co.tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mama kwa Maelezo mazuri sanaMakamu wa rais Samia Suluhu Hassan ameshangazwa na baadhi ya watu wanaoacha kujadili maendeleo yanayoletwa na rais kwa nchi yetu na kujadili ulinzi wa rais Magufuli!.
Mshangao huo wa Samia umekuja baada Freeman Mbowe kuonekana akihoji kwa nini ulinzi wa rais Magufuli umekuwa mkubwa sana!, mama Samia amewataka Chadema na watanzania wengine wenye roho za korosho kwa maendeleo ya nchi yetu kubadilika na kuanza kutangaza maendeleo ya nchi badala ya kutangaza upuuzi wa kuhoji ulinzi wa rais!
![]()
VIDEO: Samia: Wanaoohoji ulinzi wa Rais wamefilisika
Makamo wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameonyesha kushangazwa na watu wanaohoji kuhusu ulinzi wa Rais John Magufuli huku akiwataka kutumia muda huo kutafakari kazi kubwa anayoifanya.mobile.mwananchi.co.tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nataka nione mjengo wa ChamwinoNa mimi natamani kuziona ila hukawii kuambiwa ni marufuku kupiga/kuona picha kwa sababu za kiusalama
Mbona hata kapicha hujatupia mkuu?Rais wa Nchi Dr. JOHN MAGUFULI leo hii tarehe 13 Aprili anazindua rasmi ofisi za Rais Ikulu Makao Makuu Chamwino Dodoma.
Pia Rais Magufuli anazindua mji mpya wa Serikali eneo la Mtumba.
Hii ni kuashiria kuwa ni rasmi sasa Rais anahamia Dodoma, makao makuu ya nchi.
Matukio haya yanashuhudiwa na viongozi wote wakuu wa nchi akiwemo Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania.
Fuatilia uzi huu kwa updates.
updates......
Rais na msafara wake ameshawasili hapa na sasa ni dua maalum kutoka kwa viongozi wa dini.
updates......waziri mkuu anaongea hivi sasa, anampongeza rais kwa hatua yake ya kuamua kuhamishia makao makuu ya nchi dodoma ambayo ni ndoto ya mwasisi wa taifa hili Julius kambarage Nyerere. anasema ujenzi wa majengo ya ofisi ya rais yanakamilika mwezi mei wakati ofisi ya waziri mkuu yanakamilika mwezi huu wa nne.
updates............
sasa makam wa rais anahutubia. anampongeza rais kwa hatua hii muhimu ya kukamilisha azma ya kuhamia Dodoma. anasema tutahakikisha tunaitumia vizuri fursa hii ya kuhamia dodoma kuijenga Tanzania
Rais anasema ndoto ya kuhamia Dodoma iliazimiwa miaka kumi baada ya mwaka 1978.
Anasema kuhamia dodoma sio kazi rahisi...Lakini leo nimefrahi mnooo kuona ndoto ya baba wa taifa imetimia. Hata watz wamefurahi mno kuona malengo yao yametimia.
Na mimi nakuja Dodoma, nilichelewa kidogo kwa sababu nauguliwa na mama yangu ambaye hadi sasa hawezi kuongea hawezi kufanya chochote, lakini kwa sasa nahamia Dodoma, sipo mbali ni kama nimeshahamia tu.
Kuhusu vijana wa JKT walioshiriki kikamilifu kazi ya kujenga makao makuu haya nawaajiri rasmi lakini CDF usichomekee idadi, wale wa Mirerani walishaajiriwa na wamemaliza mafunzo juzi. Walijenga nyumba za Ikulu, wanaojenga ukuta wa Ikulu mle ndani, waliojenga nyumba za magereza hao ndio nimewaajiri.
Naongeza na wale wanaofanya kazi kwenye kiwanda cha mlale. Hao wote ndio tutapanga mikakati nao, kaa na wakuu wenzio wa vyombo.. Kaa na TAKUKURU, Magereza,TISS,Polisi nk tuwatumie hawa vijana.
Aliyesimamia hapa kuanzia leo anakuwa Brigedia, muongezee vinavyotakiwa kukaa kwenye mabega.Kuanzia leo tuwe na kikosi cha ujenzi na mkuu wake ni huyu niliyempandisha cheo hapa.
CDF unafanya vizuri sana, nakutuma mengi unafanya hivyo hivyo wanaotamani ustaafu leo haustaafu labda uharibu.Umetoa hadi gawio la milioni 700 haijawahi kutokea, nasubiri gawio la Polisi, Magereza nk