DODOMA: Rais Magufuli azindua ofisi ya Rais (Ikulu) Chamwino na mji wa Serikali eneo la Mtumba

DODOMA: Rais Magufuli azindua ofisi ya Rais (Ikulu) Chamwino na mji wa Serikali eneo la Mtumba

Jamani naomba kuuliza.
Ikulu ya Dar es Salaam inaoneshwa namna ilivyo na tunapigiwa picha tunaona mjengo wetu, je Ikulu ya Chamwino Dodoma ikoje? Je, ina hadhi kama hii ya Dar es Salaam?

Mbona haioneshwi ilivyo?
 
Back
Top Bottom