Dodoma: Rais Samia apokea hati za mabalozi wa nchi nne

Dodoma: Rais Samia apokea hati za mabalozi wa nchi nne

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepokea hati za mabalozi wa nchi nne ikulu jijini Dodoma

Mabalozi waliowasilisha hati zao ni balozi wa Saudi Arabia, Jamhuri ya Korea, Indonesia na Morocco. Katika Hafla ya kupokea hati kulikuwepo na kliniki ya kutoa chanjo ya COVID-19

3604E226-0E4B-4216-9FAF-B33191EEE22D.jpeg


1A345C9F-2696-41EB-B127-052B36205A30.jpeg


194CE4C0-93A8-4BDB-BBBA-C29E91C52BF8.jpeg


5C10134D-4299-4771-ACF8-035EF652DC56.jpeg
 
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amepokea hati za mabalozi wa nchi nne ikulu jijini Dodoma

Mabalozi waliowasilisha hati zao ni balozi wa Saudi Arabia, Jamhuri ya Korea, Indonesia na Morroco. Katika Hafla ya kupokea hati kulikuwepo na kliniki ya kutoa chanjo ya #COVID19
Jamhuri ya Korea ipi kusini au kaskazini?..
 
Back
Top Bottom