Dodoma: Rais Samia apokea hati za mabalozi wa nchi nne

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepokea hati za mabalozi wa nchi nne ikulu jijini Dodoma

Mabalozi waliowasilisha hati zao ni balozi wa Saudi Arabia, Jamhuri ya Korea, Indonesia na Morocco. Katika Hafla ya kupokea hati kulikuwepo na kliniki ya kutoa chanjo ya COVID-19







 
Jamhuri ya Korea ipi kusini au kaskazini?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…