Dodoma: Rais Samia awataka Majaji na Mahakimu kutokuwa miungu watu, watende haki kwa kufuata sheria

Dodoma: Rais Samia awataka Majaji na Mahakimu kutokuwa miungu watu, watende haki kwa kufuata sheria

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais Samia akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini katika viwanja vya Chinangali-Park Dodoma Februari 3, 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

"Kwa mwaka 2024 Jumla ya mashauri 172, 301 yalisajiliwa na kumalizika katika mfumo wa mtandao katika ngazi ya mahakama za mwanzo. Aidha mashauri 70,714 yalisikilizwa na kumalizika kwa njia ya mtandao kuanzia ngazi ya mhakama za wilaya hadi mahakama kuu" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Sauti za Wananchi wengi zinatamani tanzania ya miaka 25 ijayo iwe ni Taifa jumuishi lenye ustawi haki na kujitegemea. (....) Kwamba miaka 25 ijayo tunataka Tanzania iwe ni Tifa jumuishi lenye ustawi, haki na linalojitegemea" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Dira ijayo itaweka lengo la kuongeza pato la Taifa hadi kufikia Dola Bilioni 700 ifikapo mwaka 2050, sasa ili tuweze kufikia hapo tunalazimika kuchukua hatua za kukuza sekta za kiuchumi ikiwemo kuvutia uwekezaji na biashara, kuvutia mitaji nchini na kukuza njia za ukusanyaji wa mapato nchini" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Tunakokwenda miaka 25 ijayo tunakwenda kuwa Taifa kama ilivyo dunia litakalopunguza matumizi ya fedha taslimu mkononi au cashless nation. lakini pia tunakwenda kupambana na mifumo ya fedha za mitandaoni au fedha za hewani" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Serikali inatambua mazingira magumu ambayo watumishi wa mahakama wamekuwa wakifanyia kazi. Ili haki iweze kutamalaki na kushamiri na maslahi ya Taifa letu yalindwe vyema kama alivyosema rais wa TLS ni wajibu wa serikali kutengeneza mazingira mazuri na vivutio kwa utendji wa mahakama" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Nyinyi majaji na mahakimu ni mawakala wa utoaji haki hapa duniani ila mmenyimwa Jaala na Kudra hizo sifa hamna, uwezo huo hamna. Kwahiyo mnafanya kazi yenu kwa kufuata makubaliano yenu kikatiba na sheria za nchi kama tulivyoziweka. Niwasihi sana, niwaombe sana tusiwe miungu watu hatuna sifa ya kudra wala jaala tutoe haki kwa misingi ile ambayo tumekubaliana na kuiweka kisheria".


Sehemu ya hotuba ya Jaji mkuu wa mahakama Tanzania Prof. Ibrahim Juma

Jaji mkuu wa mahakama kuu Tanzania Prof. Ibrahim Juma amewataka wananchi kutumia Call Center ya mahakama ambayo ipo wazi siku zote za wiki kwa saa 24 kwa ajili ya kutoa maoni na mapendkezo na wasisubiri tu hadi wiki ya sheria.

Prof. Ibrahim Juma ameeleza kuwa mahakama ipo tayari kuwasaidia chama cha mawakili Tanganyika kuweza kubuni mikakakti ya kuweza kufikia rasilimali ambazo zitakuwepo katika dira ya 2050.

Prof. Ibrahim amemshukuru Rais Samia Hassan kwakuwezesha mahakama kupata fedha kutoka benki ya dunia mara mbili. Dola Milioni 61 kwa awamu ya kwanza, na dola milioni 91 kwa awamu ya pili.

rais wa TLS

"Tunaposhirikiana na Serikali hatulambi asali, tunapata changamoto watu wanapoona tunashirikiana na serikali wanafikiri tunalamba asali. TLS siyo kikundi cha magaidi It's a structural body kwahiyo sehemu ya kuonya tutaonya kwa haki na pakupongeza tutapongeza kwa haki" -Mwabukusi, rais wa TLS

Wakili Mwabukusi ataka mkazo uwekwe kwenye sheria zinazolinda rasilimali, kwa kuwa kila taifa lina bargaining card na hivyo hivyo bargain Card ya Tanzania ni mali na rasimali hivyo ni vyema kuweka mkazo katika kuzilinda.
 
Hizi ushauri kuhusu kutenda haki, kujifanya uungu mtu anawaambia wengine. Wakati huu ushauri ungemfaa yeye na angeonyesha mfano kwenye issue kama za Dr Slaa, Wamasai, Soka, Kibao, kujiteua kuwa mwenyekiti, kuiba uchaguzi wa serikali ya mitaa.
 
Kwahiyo Mwabukusi yeye na TLS yake kukaa na serikali si kulamba asali Ila akina akina Mbowe wakiongea na Samia ni kulamba asali!! Nchi ina watu wapumbavu sana hii!
Sio Tanzania, bali vijana wa Lissu ndio wapumbavu wanaoamini ukiongea na Serikali umeramba asali. Sasa hivi akina Mwabukusi ndio wameanza kuelewa.
 
Rais Samia akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini katika viwanja vya Chinangali-Park Dodoma Februari 3, 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

"Kwa mwaka 2024 Jumla ya mashauri 172, 301 yalisajiliwa na kumalizika katika mfumo wa mtandao katika ngazi ya mahakama za mwanzo. Aidha mashauri 70,714 yalisikilizwa na kumalizika kwa njia ya mtandao kuanzia ngazi ya mhakama za wilaya hadi mahakama kuu" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Sauti za Wananchi wengi zinatamani tanzania ya miaka 25 ijayo iwe ni Taifa jumuishi lenye ustawi haki na kujitegemea. (....) Kwamba miaka 25 ijayo tunataka Tanzania iwe ni Tifa jumuishi lenye ustawi, haki na linalojitegemea" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Dira ijayo itaweka lengo la kuongeza pato la Taifa hadi kufikia Dola Bilioni 700 ifikapo mwaka 2050, sasa ili tuweze kufikia hapo tunalazimika kuchukua hatua za kukuza sekta za kiuchumi ikiwemo kuvutia uwekezaji na biashara, kuvutia mitaji nchini na kukuza njia za ukusanyaji wa mapato nchini" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Tunakokwenda miaka 25 ijayo tunakwenda kuwa Taifa kama ilivyo dunia litakalopunguza matumizi ya fedha taslimu mkononi au cashless nation. lakini pia tunakwenda kupambana na mifumo ya fedha za mitandaoni au fedha za hewani" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Serikali inatambua mazingira magumu ambayo watumishi wa mahakama wamekuwa wakifanyia kazi. Ili haki iweze kutamalaki na kushamiri na maslahi ya Taifa letu yalindwe vyema kama alivyosema rais wa TLS ni wajibu wa serikali kutengeneza mazingira mazuri na vivutio kwa utendji wa mahakama" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Nyinyi majaji na mahakimu ni mawakala wa utoaji haki hapa duniani ila mmenyimwa Jaala na Kudra hizo sifa hamna, uwezo huo hamna. Kwahiyo mnafanya kazi yenu kwa kufuata makubaliano yenu kikatiba na sheria za nchi kama tulivyoziweka. Niwasihi sana, niwaombe sana tusiwe miungu watu hatuna sifa ya kudra wala jaala tutoe haki kwa misingi ile ambayo tumekubaliana na kuiweka kisheria".


Sehemu ya hotuba ya Jaji mkuu wa mahakama Tanzania Prof. Ibrahim Juma

Jaji mkuu wa mahakama kuu Tanzania Prof. Ibrahim Juma amewataka wananchi kutumia Call Center ya mahakama ambayo ipo wazi siku zote za wiki kwa saa 24 kwa ajili ya kutoa maoni na mapendkezo na wasisubiri tu hadi wiki ya sheria.

Prof. Ibrahim Juma ameeleza kuwa mahakama ipo tayari kuwasaidia chama cha mawakili Tanganyika kuweza kubuni mikakakti ya kuweza kufikia rasilimali ambazo zitakuwepo katika dira ya 2050.

Prof. Ibrahim amemshukuru Rais Samia Hassan kwakuwezesha mahakama kupata fedha kutoka benki ya dunia mara mbili. Dola Milioni 61 kwa awamu ya kwanza, na dola milioni 91 kwa awamu ya pili.

rais wa TLS

"Tunaposhirikiana na Serikali hatulambi asali, tunapata changamoto watu wanapoona tunashirikiana na serikali wanafikiri tunalamba asali. TLS siyo kikundi cha magaidi It's a structural body kwahiyo sehemu ya kuonya tutaonya kwa haki na pakupongeza tutapongeza kwa haki" -Mwabukusi, rais wa TLS

Wakili Mwabukusi ataka mkazo uwekwe kwenye sheria zinazolinda rasilimali, kwa kuwa kila taifa lina bargaining card na hivyo hivyo bargain Card ya Tanzania ni mali na rasimali hivyo ni vyema kuweka mkazo katika kuzilinda.

Unafiki wa huyu mama ni wa kiwango cha PhD. Anadirikije kuwafunda majaji na mahakimu watende haki ilihali Serikali yake inamshikilia Dr. Slaa bila sababu za msingi na imekuwa na kawaida ya kufanya hivyo kwa wakosoaji wake? Hatujasahau kwamba ilimshikilia Ayatollah Mbowe kwa miezi minane kwa mashitaka ambayo DPP alikuja kuyaondoa katika mazingira ya kutatanisha, pengine kwa sababu yalikuwa ya uongo!
 
Kwahiyo Mwabukusi yeye na TLS yake kukaa na serikali si kulamba asali Ila akina akina Mbowe wakiongea na Samia ni kulamba asali!! Nchi ina watu wapumbavu sana hii!
Ndio maana mm huwa si mwamini mtu, nikifanya kitu maana yake mm ndio nimeamua sio kushawishiwa na mtu au watu. Kila moja angalie upande wake lkn usipo umize watu wengine inakuwa nzuri zaidi.
 
Rais Samia akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini katika viwanja vya Chinangali-Park Dodoma Februari 3, 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

"Kwa mwaka 2024 Jumla ya mashauri 172, 301 yalisajiliwa na kumalizika katika mfumo wa mtandao katika ngazi ya mahakama za mwanzo. Aidha mashauri 70,714 yalisikilizwa na kumalizika kwa njia ya mtandao kuanzia ngazi ya mhakama za wilaya hadi mahakama kuu" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Sauti za Wananchi wengi zinatamani tanzania ya miaka 25 ijayo iwe ni Taifa jumuishi lenye ustawi haki na kujitegemea. (....) Kwamba miaka 25 ijayo tunataka Tanzania iwe ni Tifa jumuishi lenye ustawi, haki na linalojitegemea" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Dira ijayo itaweka lengo la kuongeza pato la Taifa hadi kufikia Dola Bilioni 700 ifikapo mwaka 2050, sasa ili tuweze kufikia hapo tunalazimika kuchukua hatua za kukuza sekta za kiuchumi ikiwemo kuvutia uwekezaji na biashara, kuvutia mitaji nchini na kukuza njia za ukusanyaji wa mapato nchini" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Tunakokwenda miaka 25 ijayo tunakwenda kuwa Taifa kama ilivyo dunia litakalopunguza matumizi ya fedha taslimu mkononi au cashless nation. lakini pia tunakwenda kupambana na mifumo ya fedha za mitandaoni au fedha za hewani" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Serikali inatambua mazingira magumu ambayo watumishi wa mahakama wamekuwa wakifanyia kazi. Ili haki iweze kutamalaki na kushamiri na maslahi ya Taifa letu yalindwe vyema kama alivyosema rais wa TLS ni wajibu wa serikali kutengeneza mazingira mazuri na vivutio kwa utendji wa mahakama" - Rais Samia Suluhu Hassan

"Nyinyi majaji na mahakimu ni mawakala wa utoaji haki hapa duniani ila mmenyimwa Jaala na Kudra hizo sifa hamna, uwezo huo hamna. Kwahiyo mnafanya kazi yenu kwa kufuata makubaliano yenu kikatiba na sheria za nchi kama tulivyoziweka. Niwasihi sana, niwaombe sana tusiwe miungu watu hatuna sifa ya kudra wala jaala tutoe haki kwa misingi ile ambayo tumekubaliana na kuiweka kisheria".


Sehemu ya hotuba ya Jaji mkuu wa mahakama Tanzania Prof. Ibrahim Juma

Jaji mkuu wa mahakama kuu Tanzania Prof. Ibrahim Juma amewataka wananchi kutumia Call Center ya mahakama ambayo ipo wazi siku zote za wiki kwa saa 24 kwa ajili ya kutoa maoni na mapendkezo na wasisubiri tu hadi wiki ya sheria.

Prof. Ibrahim Juma ameeleza kuwa mahakama ipo tayari kuwasaidia chama cha mawakili Tanganyika kuweza kubuni mikakakti ya kuweza kufikia rasilimali ambazo zitakuwepo katika dira ya 2050.

Prof. Ibrahim amemshukuru Rais Samia Hassan kwakuwezesha mahakama kupata fedha kutoka benki ya dunia mara mbili. Dola Milioni 61 kwa awamu ya kwanza, na dola milioni 91 kwa awamu ya pili.

rais wa TLS

"Tunaposhirikiana na Serikali hatulambi asali, tunapata changamoto watu wanapoona tunashirikiana na serikali wanafikiri tunalamba asali. TLS siyo kikundi cha magaidi It's a structural body kwahiyo sehemu ya kuonya tutaonya kwa haki na pakupongeza tutapongeza kwa haki" -Mwabukusi, rais wa TLS

Wakili Mwabukusi ataka mkazo uwekwe kwenye sheria zinazolinda rasilimali, kwa kuwa kila taifa lina bargaining card na hivyo hivyo bargain Card ya Tanzania ni mali na rasimali hivyo ni vyema kuweka mkazo katika kuzilinda.

Na ile kesi aliyomtengenezea Mbowe ya ugaidi nani alaumiwe, Samia au mahakama?
 
Kwahiyo Mwabukusi yeye na TLS yake kukaa na serikali si kulamba asali Ila akina akina Mbowe wakiongea na Samia ni kulamba asali!! Nchi ina watu wapumbavu sana hii!
Bado hujapona makovu ya uchaguzi? You're a bad looser, Mbowe amekubali katulia kazi kwa mahawara zake
 
UNAFIKI, UNAFIKI MTUPU, hauwezi kumyacha salama mama Abdul.

Na karma inachagua wapinzani haishughuliki na hawa CCM sababu karma ni uchawi wa kisùkuma
 
Back
Top Bottom