Afadhali yeye kakubaliana na matokeo ila mahawara wa Mbowe humu mna hasira sijui mtapozwajeNa mamaako ni mmoja wao? Nasi sawa kama alikwambia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali yeye kakubaliana na matokeo ila mahawara wa Mbowe humu mna hasira sijui mtapozwajeNa mamaako ni mmoja wao? Nasi sawa kama alikwambia!
Move on.. Mbowe kashapigwa chiniKwahiyo Mwabukusi yeye na TLS yake kukaa na serikali si kulamba asali Ila akina akina Mbowe wakiongea na Samia ni kulamba asali!! Nchi ina watu wapumbavu sana hii!
Kwasababu wanawake lao jiko.Unafikiri kwanini wamarekani walimchagua Trump na kumuacha yule mwanamke?
Hebu nifahamishe wanahusika na nini?TLS haitendi haki, Rais wake kaingilia uchaguzi wa chadema na wameuvuruga
Pumbavu wewe mngejua haki dr slaa angekua ndani mpaka Leo? Haki mnalopokea mdomoni tu.Sio Tanzania, bali vijana wa Lissu ndio wapumbavu wanaoamini ukiongea na Serikali umeramba asali. Sasa hivi akina Mwabukusi ndio wameanza kuelewa.
Mathayo 7:5 Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.Aliyeshika Bible atusomee kile kipande cha kabla hujatoa kibanzi jichoni…..
Kumshambulia mwenyekiti wa zamani, yaani Rais wa Tls alikuwa propaganda wa lissuHebu nifahamishe wanahusika na nini?
Ategemee Mwambukusi na yeye kupigwa chiniMove on.. Mbowe kashapigwa chini
Kuna maisha hata baada ya Mbowe kuwa hayupo
Ni kweli nchi ina watu wapumbavu sana ambao wengine tuliokuwa tunawafikiria kuwa si wapumbavu, wameonyesha upumbavu wao hadharani baada ya bwana wao kuangushwa.Kwahiyo Mwabukusi yeye na TLS yake kukaa na serikali si kulamba asali Ila akina akina Mbowe wakiongea na Samia ni kulamba asali!! Nchi ina watu wapumbavu sana hii!
Ewaaaa..!! Ahsante Mtumishi na hilo ndo jibu langu kwenye huu uzi..!!Mathayo 7:5 Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.
Duuh kwa hivyo tunaweza sema ni kikundi cha wahuni!Kumshambulia mwenyekiti wa zamani, yaani Rais wa Tls alikuwa propaganda wa lissu
#FREE DR.SLAA#Free Dr.Wilbroad Slaa
Rais anasema nalo hilo mkalitazame😀😀😀Kwasababu wanawake lao jiko.
Dk. Slaa anapata alichostahili. Kasome "The Philosophy of Machiavelli" au "Machiavellianism". Ukiielewa, njoo tujadili. Kumbuka hiyo ni ya wazungu. Sio ya Wabongo kama wewe!Pumbavu wewe mngejua haki dr slaa angekua ndani mpaka Leo? Haki mnalopokea mdomoni tu.