The Watchman JF-Expert Member Joined Nov 7, 2023 Posts 896 Reaction score 1,427 Mar 4, 2025 #1 Wananchi wa kitongoji cha Kwaduria wilayani Chemba, mkoani Dodoma wamelazimika kuanzisha ujenzi wa shule ya msingi kunusuru watoto wao ambao wanatembea umbali wa km 8 kwenda shule ya msingi Songolo Your browser is not able to display this video.
Wananchi wa kitongoji cha Kwaduria wilayani Chemba, mkoani Dodoma wamelazimika kuanzisha ujenzi wa shule ya msingi kunusuru watoto wao ambao wanatembea umbali wa km 8 kwenda shule ya msingi Songolo Your browser is not able to display this video.
Farolito JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 12,001 Reaction score 27,175 Mar 4, 2025 #2 Halafu kuna Mama mmoja huko juu eti anatoa 'magoli ya mama' kwa milioni 10
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Mar 4, 2025 #3 Aisee uyo mwalimu ni wa kupewa pongezi kwanza.
Amun Ra JF-Expert Member Joined Jul 30, 2021 Posts 4,713 Reaction score 7,218 Mar 4, 2025 #4 Mama yupo busy kugawa mitungi ya gesi na kununua magoli
Amun Ra JF-Expert Member Joined Jul 30, 2021 Posts 4,713 Reaction score 7,218 Mar 4, 2025 #5 Farolito said: Halafu kuna Mama mmoja huko juu eti anatoa 'magoli ya mama' kwa milioni 10 Click to expand... inatia aibu
Farolito said: Halafu kuna Mama mmoja huko juu eti anatoa 'magoli ya mama' kwa milioni 10 Click to expand... inatia aibu
Mwizukulu mgikuru JF-Expert Member Joined Oct 21, 2021 Posts 5,715 Reaction score 13,739 Mar 4, 2025 #6 Kila uongozi una mambo yake.,... magufuri yeye alikuwa anawakomoa matajiri na wasomi, mama samia yeye kaamua kula Bata na matajiri
Kila uongozi una mambo yake.,... magufuri yeye alikuwa anawakomoa matajiri na wasomi, mama samia yeye kaamua kula Bata na matajiri
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Mar 4, 2025 #7 Maajabu