Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Sawa kaka wewe ndio muelevu hakuna shida, sasa serikali siipo DODOMA shida ya nini unafoka kiasi hiki.

Ulivyo andika comment yako tu imeakisi ulivyo ..your Dumb-Ass
Tulia wewe, jizi la saruji.

Unafikiri nchi inajengwa kwa kubembelezana na kupapasana makalio?

Serikali ilihamia Dodoma ndani ya mwaka mmoja tu kwa sababu kulikuwa na buldoza ambalo lilikuwa ngangari kweli kweli.

Serikali ya watu dhaifu dhaifu ingechukua karne.

Ohhh tuko kwenye upembuzi chokonozi, mara sijui upembuzi fikirishi.

Mara sijui tumeunda kamati ya kutizama kwa jicho la tatu!

Mzaha mzaha tu! Mnafikiri tumechanganyikiwa kama nyie?
 
Chatto airport imo kwenye ilani?, mnamanisha nini mnaposema miradi ilitekelezwa kwa kasi, Kama mpaka kafa hakuna mradi hata mmoja kakamilisha kwa Muda?
Tatizo mnabishana hapa bila fact, nenda kasome Ilani ya uchaguzi 2015 miradi yote imeainishwa. Kukamilika kwa miradi inategemea na ukubwa wa mradi husika, SGR au bwawa la umeme huwezi jenga kwa mwaka mmoja.

Miradi midogo midogo kibao imekamilika zikiwemo barabara, zahanati, vituo vya Afya, Hospitali za wilaya, Hospitali za Kanda, Masoko, vituo vya mabasi, madaraja ya juu ikiwemo Ubungo interchange, Miradi ya maji ukiwemo mradi wa kutoa maji ziwa Victoria hadi Tabora.

Magufuli msemeni kwa mengine Kama demokrasia lakini kwenye miradi ya maendeleo kila mkoa ameacha alama.
 
Atakaye mkumbuka ni sabaya na makonda type!
Hapa hautawaona kina missile of the toilet..babati..robert herielii..wao huwa wanakuja kwenye mada za kuwasuta kina sabaya na makondaa..
Mzee alishasema..mtanikumbukaaa..tartiiibuuu tunaelekea hukoo..
 
Upembuzi yakinifu maana yake nini?

Hii nchi ilihitaji kiongozi shupavu anayeweza kuisukuma mbele kwa nguvu. Na mtu pekee aliyeweza kufanya hivyo ni Magufuli pekee.

Nchi lazima ijengwe na wenye akili na wanaojitambua, sio MAJIZI wanaojificha kwenye maneno ya kitapeli na ujanja ujanja.

Mara sijui upembuzi yakinifu sijui nini nini! Upuuzi mtupu!

Ndio maana ndani ya miaka mitano tu, nchi imejengwa kweli kweli. Maana alikuwepo mtu anayejitambua.

Mabarabara, vituo vya afya, ndege, meli sijui manini. Kila mahali miundombinu.

Nyinyi magoigoi mmejifungia vyumbani mnajamba tu na kuja na stori uchwara, ati upembuzi yakinifu.

Fanya kazi, acha ujanja ujanja!

Huo upembuzi yakinifu mkafanye na mmeo huko. Wananchi wanahitaji kazi sio blah blah.
Hata huyo shujaa wako alikua jiz pia
 
Sasa Dodoma unawekeza nini??
Mvua hakuna, madini hakuna,utalii hakuna, ardhi imejaa chumvi na magadi wewe Mgogo vipi. Dar kuna barandari , dar kuna shughuli za Uvuvi, utalii n.k.
Dar imetutia umaskini!
Kila siku kubomoa na kujenga.
Kamji kenywewe hakapangiki!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Ushamba mzigo na ndio unawasumbua na ndio maana wengi wanakaa njia ya kimara ili iwe rahisi kurudi kwao yaani karibu na stendi na hii inatokana kaja Dar kwa ajili ya shule kaanza maisha kapanga ubungo kiwanja mbezi kosa shule asinge kuja Dar.
haelewi kuwa hiyo Dar anayoiyona leo kuna watu waliwekeza ndivyo tunavyohitaji kuwekeza Dodoma sasa.
Ndo hivyo boss.. halafu utaviskia vinasema mie dar hunitoi
 
TEMA MATE CHINI MAISHA BADO YANAENDELEA NA UKUMBUKE HALAFU NI KAMA GWALIDE NA VILE VILE KAMA TAULO ULIPOFUTIA TAKO JANA LEO UNAFUTIA MDOMO YANAWEZA KUBADILIKA GHAFLA UKAWA WEWE OMBAOMBA
Mleta mada hili bandiko si kweli, mbona watu wanafidiwa ili kazi ianze ?
 
Tulia wewe, jizi la saruji.

Unafikiri nchi inajengwa kwa kubembelezana na kupapasana makalio?

Serikali ilihamia Dodoma ndani ya mwaka mmoja tu kwa sababu kulikuwa na buldoza ambalo lilikuwa ngangari kweli kweli.

Serikali ya watu dhaifu dhaifu ingechukua karne.

Ohhh tuko kwenye upembuzi chokonozi, mara sijui upembuzi fikirishi.

Mara sijui tumeunda kamati ya kutizama kwa jicho la tatu!

Mzaha mzaha tu! Mnafikiri tumechanganyikiwa kama nyie?
Nimesoma comments zako na post zako huko nyuma nimekuja na conclusion ndugu yangu unaishi na fikra za ILLUSIONS .
 
Kuna mwandiko humu unafanana sana na swagga za DC mmoja wa Iringa town. 😂 😂
Everyday is Saturday................................😎
 
Mleta mada hili bandiko si kweli, mbona watu wanafidiwa ili kazi ianze ?
inawezekana ramani imebadilika lakini au ndio serikali imeamua kula hasara na mradi usiwepo hivyo kwa kupiga kelele inaweza kusaidia jambo hilo likakanushwa na kurudishwa na sisi tukakubali kuwa mkubwa hakosei.
ila huo ndio ukweli.
nilipata toka jana ila nikaingia hofu kuweka barua mpaka ilivyowekwa na mtu mwingine.
 
So wanaomsuta Mondi wakati masaadizi wa mwendazake waliyepiga naye kampenui yupo ambaye pia ndio Rais, wana akili timamu au vichwa vimejaa tope? (sauti ya mdee)_
Unachotakiwa kujua ndugu ni kuwa,kinachopigwa vita ni mafanikio yake kwa lugha nyingine wivu ndo unawasumbua.ktk serikali hii ya sasa, viongozi wa CCM waliopo sasa na viongozi wa bunge na baadhi ya wabunge kuna waliosema maneno machafu,ya kashfa na hata yaliyosababisha wengine kuumizwa na baadhi tumewasikia wakikiri na kuomba radhi, lakini husikii hao watu wakisakamwa na hao wanaojiita wanasiasa/wanaharkati,kwa hiyo anaetafutwa ni mafanikio ya diamond sio kile kinachodiwa sijui alihamasisha Magu abaki madarakani.
Hivi jiulize huyu aliepanda jukwaani kuwataka watz wamchague Magu/Samia na yule wanaesema aliwaibia kura zao(NEC)ambae walimtangaza Magu/Samia kuwa washindi nani aliwakosea zaidi?
Lakini vilevile wasanii karibu 95% nchini waliikempenia CCM mbona na hao hatujasikia mikakati ya kuwasusia hata kwa miziki yao hapa nyumbani.
Nahitimisha kwa kusema kuwa kama diamond atashindwa itakuwa si kwa juhudi zao bali ni kwa sababu atakuwa amezidiwa uwezo na washindani wake kwa sababu siku za nyuma alishawahi kuteuliwa na akashindwa.
 
Huo mji umetupotezea mda Sana
Mji kama Dar ukiangalia ni upumbavu mtupu!
Tuanze na kimoja kimoja

1. IKULU YA MAGOGONI ni Ikulu ya wakoloni imezungukwa na makazi na lile soko la samaki ile harufu ndio kabisa na eneo lake ni dogo Sana hata kiusalama haiko potential ukilinganisha na CHAMWINO.

2. KIWANJA CHA NDEGE cha ndege kina eneo dogo Sana na kimekuwa katikati ya makazi na kila maboresho yakitaka kufanyika lazima bomoabomoa ianze kitu kinachofanya ghalama za ujenzi ziwe ukilinganisha na kinachojengwa hii ni tofauti na MSALATO INTERNATIONAL AIRPORT kwa sababu ya ukubwa wa eneo.

3. CHIKOMBO inaonekana ipo potential Sana kiulinzi wa nchi ukilinganisha na LUGALO. hii ni kutokana na kwa na eneo la kutosha na geographically ipo poa Sana maana ni katikati ya nchi.

4. MASTER PLAN. Kwa DODOMA ni poa Sana kwa sababu iko manageable kirahisi ukilinganisha na Dar ambayo non repairable!

5. BANDARI. kuhusu bandali kwa maoni ya kudominate soko la bandari kwa A Mashariki basi bandari ya Dar es salaam sio chaguo sahihi! Bandari ya BAGAMOYO kwa kiongozi mwenye ndoto kubwa ndio jibu sahihi na Bandari kavu ya IHUMWA ndio itaifaa nchi kwa kuwa ni karibu na mikoa mingi ukilinganisha na Bandari ya dar ambayo ni artificial kwa upande wa kina.

6. ACCESSIBILITY.
Dodoma inafikika kirahisi zaidi na wananchi walio wengi ukilinganisha na Dar ambayo kimsingi ni bonde la MPUNGA maana kila mwaka lazima maji yajae!

7. KISHERIA.
Dodoma inatambulika kikatiba kuwa ndio makao makuu ya nchi na sio mkoa wa dar es salaam.

Ngoja niishie hapa Ila sababu zipo nyingi za msingi za kuwekeza mji wa DODOMA kuliko DAR


Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Tulishauri itungwe sheria, tena mimi nilitaka yafanyike mbadiliko ya katiba ili kulinda mali zote za kudumu za uma (serikali) zisiweze kuuzwa, nikajibiwa kuwa katiba si kipaumbele. kuwa katiba ni kikaratasi tu nk. Lengo langu ilikuwa ni kulinda mali na hasa miradi mikubwa ambayo JPM aliyoanza kuijenga isije kutekwa na wachache baada ya yeye kuondoka.
JPM mwenyewe alinunua/ aliuziwa nyumba za serikali. Kama alikuwa mzalendo angekuwa wa kwanza kjpinga zoezi hilo. Ni waziri mmoja tu ( JMM) alilipinga, reshuffle iliyofuata BWM akamwondoa kwenye Baraza la Mawaziri. Mwisho ogopa sana mtu anayemtaja Mungu kila wakati na hata Biblia imetuonya kuhusu watu wa aina hiyo. Ni maoni yangu tu.
 
KUNA WATU WANAFIKI SANA HUMU,HAKUNA JINSI TUTAISHI NAO HIVYO HIVYO.
=======================================
TUKUBALIANE IPO MIRADI AMBAYO ILIANZISHWA KATIKA MWENDO WA KICK TU.
->Daraja la salender (lile la baharini)
Kila nikilitathimini sioni umuhimu wake,
-->pamoja na maintachenji foleni ipo palepale,
#miradi ya kick...!
#population ya dodoma Ahihitaji ring roads,wakajifunze #zimbabwe.
#Dar es salaam lihitaji ring road,ianzie kurasini ipite pembeni ya mji itokeze hata ikibidi chalinze waende ZAO mbali....!
HAKIKA LILE DARAJA LA BAHARINI KWENDA COCO BEACH SIJUI KWANINI HAWAKUTAKA PESA HIYO IKAWAPE MAJI VIJIJINI.
HAIINGII AKILINI KWA DARAJA
 
Inatakiwa wafute miradi yote ya Magu, waanzishe Yao na waendelee na ule WA bandari Bagamoyo wamechelewa sana.
#KaziNaIendelee
Ni kweli aipige chini ili ile hela watuwekee mifukoni. Yaani sasa hivi ukipita mitaani unaokota hela nje nje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine mingi.

Miradi hii kiukweli ilileta mabadiliko makubwa ya maendeleo ya miji na vijiji,na kuleta mvuto wa miji maeneo ambayo miradi hiyo ilipita.

Baada ya kifo Cha Hayati Magufuli, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuna mijadara mingi mitaani kuhusu kuendelezwa kwa hii miradi,katika pitapita nikakutana na hili la kusitishwa kwa ujenzi wa ringroad ya kati ya jiji la Dodoma ambayo ilipotia maeneo ya mtaa wa Nkuhungu

Mkurugenzi wa jiji la Dodoma amesitisha ujenzi wa ringroad hiyo na kuwaruhusu wananchi waendelee na shughuli zao za ujenzi kama kawaida, hii ni baadhi ya miradi ambayo iliasisiwa kipindi Cha Hayati Magufuli enzi za uhai wake ktk kulifanya jiji la Dodoma kuwa na muonekano mzuri na uliopangika vizuri.

Kwasasa mitaani watu wanajasili je hii miradi iliyoasisiwa na Hayati Magufuli itakamiika kweli!? au ndo hivyo tena itabaki hadithi ilisiyokuwa na mwisho!

Japo kuna siku nilimsikia Waziri Mkuu aliwatoa wasiwasi watanzania kwa kusema , watu waondoe mashaka miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na Serikali ya tano yote itakamilishwa kwa muda uleule uliokuwa umekadiliwa awali enzi za uhai wa Hayati Magufuli.

Je, ilikuwa ni kuwatuliza watu pressure za mashaka au ! Kama hii miradi midogo imeanza kusitishwa mdogomdogo je hii mingine ya mabilioni ya pesa itakuwaje? Anyway ngoja tuone mambo yatakuwaje, ila wananchi tukeyatunza maneno ya Waziri Mkuu kwenye kumbukumbu zetu, alitutia moyo na kutuondoa mashaka kwamba miradi yote iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano itakamilika.

Waziri Mkuu tunakumbuka maneno yako,ipo siku tutataka utupe maelezo ,ilikuwaje?

Mkurugenzi wa Dodoma hana akili.

Ina maana anawaambia wajenge nyumba zao kabis
 
KINACHOHIFADHIWA KWA FUTURE YA MIAKA MINGI IJAYO NI ARDHI, AU FUTUTE STRATEGIC PLANS, NI UPUMBAVU KUPLANI MIRADI YA MIAKA 200 MBELE HUKU RAIA WAKO WAKIKOSA HUDUMA ZA AFYA BORA NA NAFUU,
NI AKILI KUTUMIA FEDHA HIZO KATIKA KUBUNI AU KUANZISHA MIRADI ITAKAYOZALISHA AJIRA ZA KUTOSHA AT MEAN TIME.
Sasa mkuu, bhasi wasingeruhusu Ardhi iliyopangwa kw ajili ya "Ring road" wananchi waiendeleze.
Naona wamekosea, sasa hitaji mbeleni likihitajika[emoji134] watavunja makazi ya watu?
Mradi ulikuwa mzuri, sijui waliositisha wameona nini?!?
 
Back
Top Bottom