Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Sawa kaka wewe ndio muelevu hakuna shida, sasa serikali siipo DODOMA shida ya nini unafoka kiasi hiki.

Ulivyo andika comment yako tu imeakisi ulivyo ..your Dumb-Ass
Tulia wewe, jizi la saruji.

Unafikiri nchi inajengwa kwa kubembelezana na kupapasana makalio?

Serikali ilihamia Dodoma ndani ya mwaka mmoja tu kwa sababu kulikuwa na buldoza ambalo lilikuwa ngangari kweli kweli.

Serikali ya watu dhaifu dhaifu ingechukua karne.

Ohhh tuko kwenye upembuzi chokonozi, mara sijui upembuzi fikirishi.

Mara sijui tumeunda kamati ya kutizama kwa jicho la tatu!

Mzaha mzaha tu! Mnafikiri tumechanganyikiwa kama nyie?
 
Chatto airport imo kwenye ilani?, mnamanisha nini mnaposema miradi ilitekelezwa kwa kasi, Kama mpaka kafa hakuna mradi hata mmoja kakamilisha kwa Muda?
Tatizo mnabishana hapa bila fact, nenda kasome Ilani ya uchaguzi 2015 miradi yote imeainishwa. Kukamilika kwa miradi inategemea na ukubwa wa mradi husika, SGR au bwawa la umeme huwezi jenga kwa mwaka mmoja.

Miradi midogo midogo kibao imekamilika zikiwemo barabara, zahanati, vituo vya Afya, Hospitali za wilaya, Hospitali za Kanda, Masoko, vituo vya mabasi, madaraja ya juu ikiwemo Ubungo interchange, Miradi ya maji ukiwemo mradi wa kutoa maji ziwa Victoria hadi Tabora.

Magufuli msemeni kwa mengine Kama demokrasia lakini kwenye miradi ya maendeleo kila mkoa ameacha alama.
 
Atakaye mkumbuka ni sabaya na makonda type!
Hapa hautawaona kina missile of the toilet..babati..robert herielii..wao huwa wanakuja kwenye mada za kuwasuta kina sabaya na makondaa..
Mzee alishasema..mtanikumbukaaa..tartiiibuuu tunaelekea hukoo..
 
Hata huyo shujaa wako alikua jiz pia
 
Sasa Dodoma unawekeza nini??
Mvua hakuna, madini hakuna,utalii hakuna, ardhi imejaa chumvi na magadi wewe Mgogo vipi. Dar kuna barandari , dar kuna shughuli za Uvuvi, utalii n.k.
Dar imetutia umaskini!
Kila siku kubomoa na kujenga.
Kamji kenywewe hakapangiki!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Ushamba mzigo na ndio unawasumbua na ndio maana wengi wanakaa njia ya kimara ili iwe rahisi kurudi kwao yaani karibu na stendi na hii inatokana kaja Dar kwa ajili ya shule kaanza maisha kapanga ubungo kiwanja mbezi kosa shule asinge kuja Dar.
haelewi kuwa hiyo Dar anayoiyona leo kuna watu waliwekeza ndivyo tunavyohitaji kuwekeza Dodoma sasa.
Ndo hivyo boss.. halafu utaviskia vinasema mie dar hunitoi
 
TEMA MATE CHINI MAISHA BADO YANAENDELEA NA UKUMBUKE HALAFU NI KAMA GWALIDE NA VILE VILE KAMA TAULO ULIPOFUTIA TAKO JANA LEO UNAFUTIA MDOMO YANAWEZA KUBADILIKA GHAFLA UKAWA WEWE OMBAOMBA
Mleta mada hili bandiko si kweli, mbona watu wanafidiwa ili kazi ianze ?
 
Nimesoma comments zako na post zako huko nyuma nimekuja na conclusion ndugu yangu unaishi na fikra za ILLUSIONS .
 
Kuna mwandiko humu unafanana sana na swagga za DC mmoja wa Iringa town. 😂 😂
Everyday is Saturday................................😎
 
Mleta mada hili bandiko si kweli, mbona watu wanafidiwa ili kazi ianze ?
inawezekana ramani imebadilika lakini au ndio serikali imeamua kula hasara na mradi usiwepo hivyo kwa kupiga kelele inaweza kusaidia jambo hilo likakanushwa na kurudishwa na sisi tukakubali kuwa mkubwa hakosei.
ila huo ndio ukweli.
nilipata toka jana ila nikaingia hofu kuweka barua mpaka ilivyowekwa na mtu mwingine.
 
So wanaomsuta Mondi wakati masaadizi wa mwendazake waliyepiga naye kampenui yupo ambaye pia ndio Rais, wana akili timamu au vichwa vimejaa tope? (sauti ya mdee)_
Unachotakiwa kujua ndugu ni kuwa,kinachopigwa vita ni mafanikio yake kwa lugha nyingine wivu ndo unawasumbua.ktk serikali hii ya sasa, viongozi wa CCM waliopo sasa na viongozi wa bunge na baadhi ya wabunge kuna waliosema maneno machafu,ya kashfa na hata yaliyosababisha wengine kuumizwa na baadhi tumewasikia wakikiri na kuomba radhi, lakini husikii hao watu wakisakamwa na hao wanaojiita wanasiasa/wanaharkati,kwa hiyo anaetafutwa ni mafanikio ya diamond sio kile kinachodiwa sijui alihamasisha Magu abaki madarakani.
Hivi jiulize huyu aliepanda jukwaani kuwataka watz wamchague Magu/Samia na yule wanaesema aliwaibia kura zao(NEC)ambae walimtangaza Magu/Samia kuwa washindi nani aliwakosea zaidi?
Lakini vilevile wasanii karibu 95% nchini waliikempenia CCM mbona na hao hatujasikia mikakati ya kuwasusia hata kwa miziki yao hapa nyumbani.
Nahitimisha kwa kusema kuwa kama diamond atashindwa itakuwa si kwa juhudi zao bali ni kwa sababu atakuwa amezidiwa uwezo na washindani wake kwa sababu siku za nyuma alishawahi kuteuliwa na akashindwa.
 
Huo mji umetupotezea mda Sana
Mji kama Dar ukiangalia ni upumbavu mtupu!
Tuanze na kimoja kimoja

1. IKULU YA MAGOGONI ni Ikulu ya wakoloni imezungukwa na makazi na lile soko la samaki ile harufu ndio kabisa na eneo lake ni dogo Sana hata kiusalama haiko potential ukilinganisha na CHAMWINO.

2. KIWANJA CHA NDEGE cha ndege kina eneo dogo Sana na kimekuwa katikati ya makazi na kila maboresho yakitaka kufanyika lazima bomoabomoa ianze kitu kinachofanya ghalama za ujenzi ziwe ukilinganisha na kinachojengwa hii ni tofauti na MSALATO INTERNATIONAL AIRPORT kwa sababu ya ukubwa wa eneo.

3. CHIKOMBO inaonekana ipo potential Sana kiulinzi wa nchi ukilinganisha na LUGALO. hii ni kutokana na kwa na eneo la kutosha na geographically ipo poa Sana maana ni katikati ya nchi.

4. MASTER PLAN. Kwa DODOMA ni poa Sana kwa sababu iko manageable kirahisi ukilinganisha na Dar ambayo non repairable!

5. BANDARI. kuhusu bandali kwa maoni ya kudominate soko la bandari kwa A Mashariki basi bandari ya Dar es salaam sio chaguo sahihi! Bandari ya BAGAMOYO kwa kiongozi mwenye ndoto kubwa ndio jibu sahihi na Bandari kavu ya IHUMWA ndio itaifaa nchi kwa kuwa ni karibu na mikoa mingi ukilinganisha na Bandari ya dar ambayo ni artificial kwa upande wa kina.

6. ACCESSIBILITY.
Dodoma inafikika kirahisi zaidi na wananchi walio wengi ukilinganisha na Dar ambayo kimsingi ni bonde la MPUNGA maana kila mwaka lazima maji yajae!

7. KISHERIA.
Dodoma inatambulika kikatiba kuwa ndio makao makuu ya nchi na sio mkoa wa dar es salaam.

Ngoja niishie hapa Ila sababu zipo nyingi za msingi za kuwekeza mji wa DODOMA kuliko DAR


Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
JPM mwenyewe alinunua/ aliuziwa nyumba za serikali. Kama alikuwa mzalendo angekuwa wa kwanza kjpinga zoezi hilo. Ni waziri mmoja tu ( JMM) alilipinga, reshuffle iliyofuata BWM akamwondoa kwenye Baraza la Mawaziri. Mwisho ogopa sana mtu anayemtaja Mungu kila wakati na hata Biblia imetuonya kuhusu watu wa aina hiyo. Ni maoni yangu tu.
 
HAKIKA LILE DARAJA LA BAHARINI KWENDA COCO BEACH SIJUI KWANINI HAWAKUTAKA PESA HIYO IKAWAPE MAJI VIJIJINI.
HAIINGII AKILINI KWA DARAJA
 
Inatakiwa wafute miradi yote ya Magu, waanzishe Yao na waendelee na ule WA bandari Bagamoyo wamechelewa sana.
#KaziNaIendelee
Ni kweli aipige chini ili ile hela watuwekee mifukoni. Yaani sasa hivi ukipita mitaani unaokota hela nje nje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa hautawaona kina missile of the toilet..babati..robert herielii..wao huwa wanakuja kwenye mada za kuwasuta kina sabaya na makondaa..
Mzee alishasema..mtanikumbukaaa..tartiiibuuu tunaelekea hukoo..
Wezi nana wanamtetea mwivi
 
Mkurugenzi wa Dodoma hana akili.

Ina maana anawaambia wajenge nyumba zao kabis
 
Sasa mkuu, bhasi wasingeruhusu Ardhi iliyopangwa kw ajili ya "Ring road" wananchi waiendeleze.
Naona wamekosea, sasa hitaji mbeleni likihitajika[emoji134] watavunja makazi ya watu?
Mradi ulikuwa mzuri, sijui waliositisha wameona nini?!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…