mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Kuna saa utafikiri tunawaza kwa kutumia makalio, soko la machinga unaanza kugawia muuza bar kwanza kabla ya machinga ili pombe zitangulie hapo mnatengeneza nini?
Halafu mnakuja mnalalamika kwenye TV kua maadili yame momonyoka?
Mna ya momonyoa wenyewe halafu mnalalamika wapuuzi kabisa.
Hii nchi aliiweza Magufuli tu wengine wahuni tu, ni uhuni tu
Halafu mnakuja mnalalamika kwenye TV kua maadili yame momonyoka?
Mna ya momonyoa wenyewe halafu mnalalamika wapuuzi kabisa.
Hii nchi aliiweza Magufuli tu wengine wahuni tu, ni uhuni tu