Dodoma: TAKUKURU yawashikilia watu kadhaa kwa rushwa

Dodoma: TAKUKURU yawashikilia watu kadhaa kwa rushwa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
DODOMA: MWALIMU MKUU MBARONI KWA TUHUMA ZA RUSHWA ILI KUTOA CHETI

Mwakangale Mangongose mwalimu mkuu wa shule ya msingi Karume, kata ya Kibaigwa Wilayani Kongwa anatuhumiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, TAKUKURU kwa rushwa ya Tsh 55,000

Mwalimu huyu anatuhumiwa kupokea hela hiyo ili kutoa cheti cha darasa la saba kwa kijana aliyekihitaji ili aweze kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa, JKT

Baada ya ya kukamatwa uchunguzi ulibaini uwepo wa vyeti vingine ambavyo mtuhumiwa alivitoa kwa vijana wasiostahili kwa kuwa hawakusoma shuleni hapo

Kosa la kushawishi na kupokea rusha ni kinyume na kifungu cha 15(1)a cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007


1600525219513.png

1600525244163.png

1600525256000.png
 

Attachments

  • Screenshot_20200919-145542.png
    Screenshot_20200919-145542.png
    86.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20200919-145707.png
    Screenshot_20200919-145707.png
    93.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20200919-145722.png
    Screenshot_20200919-145722.png
    58.6 KB · Views: 5
  • 1_5129671946341974278.pdf
    1_5129671946341974278.pdf
    463 KB · Views: 9
Mbona misioni kama palikua na ulazima wa kuyatangaza hayo..!! Maana hiyo ni sehemu ya wajibu wa kazi zao.
Ama wa ehiwekea utartibu huo ili kumfurahisha mtu flani..??
 
Takukuru is very corrupt and incompetent: Rushwa za ccm na wakubwa hawana habari nazo...!!
 
Back
Top Bottom