Dodoma: Tundu Lissu afuata gari lake lililoshambuliwa ofisini kwa RPC Muroto. Ashangaa hadi sasa hajahojiwa yeye na Dereva wake

Hii ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi. Tukio la jinai kama hilo Leo miaka mitatu wako ofisini wanasubiri mtu kwenda kutoa maelezo? Duh!
 
..afande Sirro alisema wapelelezi wake wanamtafuta TL lakini hawajampata.

..sasa leo TL kaenda mpaka kituoni kilichowashinda kumkamata na kumhoji ni nini?
kumkamata na kumhoji 😲😲😲mbona me bado sielewi
Yy ndio victim akamatwe tena akili tuuuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hao watu ni wanafiki maana aliyefanya tukio wanamjua ila ndo wanatetea ugali.
Nashangaa hawajamkamata!! Mbona wanakuwa wema sana kwa Lissu tangu arudi.
 
Hakuna kitu kina umiza kama unapofanya kitu watu wakufanyie kitu ili upate pakusemea then unakuta watu wamechuna.
1. Mapokezi Dar....... Police wala hawakumsumbua
2. Korona Tanzania..... Wala hakuna alie mjibu.
3. Kaanza kampeni mapema....... Watu kimyaaaaa
4. Kwenda police......... RPC angemkaribisha kabisa supu na chapati.

This time kiki zote zitakwama.....
 
Hilo gari linapaswa kuwekwa kwenye makumbusho (museum) kwa ajili ya historia ya vizazi vijanvyo.
 
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
Unajua hapa unathibitisha tu kwamba uko tupu. Kinachofanywa na Lissu kinalivua nguo jeshi la polisi. Kwanza, ni aibu kwamba leo miaka mitatu tangu Lissu ashambuliwe polisi hawana statement yake ni aibu.

Polisi hawezi kuwa na utetezi wowote kwa sababu wao wenyewe ndio wenye wajibu wa kuwa walalamikaji kwenye suala hili la Lissu. Sasa kama hawana maelezo maana yake tangu jaribio lile la mauaji lishindwe hawajafanya jambo lolote!
 
Nashangaa hawajamkamata!! Mbona wanakuwa wema sana kwa Lissu tangu arudi.
kuna kitu ana kitafuta kumuongezea umaalufu anataka akikamatwa a trend kuongeza mob kitu ambacho kilisha onekana na kina puuzwaπŸ˜‚
 
Wewe ulitaka akae kimya baada ya unyama na jaribio la mauaji?! Wewe utakuwa mtu katili sana hata kwa familia yako ndio washenzi wengi wa chama cha kijani walivyo.
 
kumkamata na kumhoji 😲😲😲mbona me bado sielewi
Yy ndio victim akamatwe tena akili tuuuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

..nimemsikiliza IGP ktk kipindi cha dakika 45 cha ITV.

..hiyo ndiyo picha ambayo IGP anataka iaminike huku mitaani.

..na anafanya hivyo akitegemea kuwa waTz wengi hawana mazoea ya kuhoji kauli za wakubwa wa serikali.

..na mbinu ya IGP kupoteza muda na kupotosha wananchi ktk suala hili.
 
Ni uhuru wa maoni huo mkuu wacha tu huyo aongee ugirigiri wake kadri wanavyoona inafaa
 
Amefuata gariiii, kwani ameeenda kuripoti tatizo lake la kushambuliwa??
Yeye ndo alitakiwa aulizie kwani gari lake liko vile? Au alipaswakuulizia kuhusu upelelezi wa kushambuliwa kwake kumeishia wapi.
 
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana

Kwani umesahau kwamba polisi walisema hawawezi kufanya upelelezi hadi wamuhoji yeye na dereva sasa wameenda kuwambia wapo tayari kuhojiwa na tayari alishasema mtshukiwa wa kutaka yeye apigwe risasi ni nani kazi kwao sasa
 
Pumba kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…