Mnafiki mkubwa we, si ajabu wewe ndiye uliyefyatua risasi hizo. wewe ndiye muuaji wake,Wadau,
Nawasalimia ktk jina la Tanzania!
Kila mmoja wetu tuungane kumuombea Mh. Lissu ili apone haraka.
Mbinu hii chafu na dhalimu ya mabebari ya kutaka kutuchonganisha kwa kumpiga risasi Mh. Lissu ishindwe ktk jina la Tanzania. Watanzania tunaamini ktk umoja wetu, tunaamini ktk Tanzania. Mbinu zao nyingi zilishashindwa na hili watashindwa na Tanzania yetu itabaki.
Mungu ibariki nchi yetu Tanzania, na wale wote wanaotuonea wivu washindwe ktk jina la Tanzania.
Tuwe watulivu wadau tukisubiri vyombo vyetu chini ya Amri Jeshi Mkuu Dkt Magufuli vikifanya kazi ili kutoa mbivu na mbichi kwa kuwabaini wahusika na ili sharia ichukue mkondo wake.
Hapana siyo mimi. Tumuombee Lissu.Mnafiki mkubwa we, si ajabu wewe ndiye uliyefyatua risasi hizo. wewe ndiye muuaji wake,
Tumshukuru Mungu kwa afya ya Tundu Lissu hadi sasa. Kushukuru ni sehemu muhimu ya maombi. [HASHTAG]#PrayForTunduLissu[/HASHTAG]
Tumekuwa wamoja kumwombea Tundu Lissu hii ndo Tanzania tunayoitaka. Umoja ni nguvu
View attachment 583910
Wewe ni mpumbavu kama uyo dikteta uchwara.Tuliza jazba kijana acha kumchafua rain wetu hawezi kufanya ujinga huo
Unahusika, tunakujua sana tena sana. Mnafiki mkubwa sana. Utawajua kwa kauli na matendio yao. Kauli zako humu ukipata mwanya unampiga risasi. Ni wewe au washirika wako, tena wa karibu!Hapana siyo mimi. Tumuombee Lissu.
Anajua sana ndiyo maana ameandika kwa furaha kubwa.Kama vile hujui kinachoendelea ...
Mpuuzi kweli huyuUnahusika, tunakujua sana tena sana. Mnafiki mkubwa sana. Utawajua kwa kauli na matendio yao. Kauli zako humu ukipata mwanya unampiga risasi. Ni wewe au washirika wako, tena wa karibu!