DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

......
......I smell your point Sir also the Map readers?
 
Ivi kwanza umeshatoa mchango wako?kama bado ebu zichange then fanya kuzituma achana na porojo uungwana ni vitendo.
 
Let's be serious,taifa la walalamikaji. Mambo yetu bado no magumu mbona tunashupaza shingo kwa mambo ya majirani? Mara PK mara UJK, hii hali yetu tunapambana nayo vipi jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app

We do not live in isolation. A wise learns from others' mistakes but a fool always wait to learn from his own failures. Hapo huwa hakuna uwezekano wa tahadhali tena. Ni mwendo wa majeraha kama si mauti kwa kwenda mbele!.
 
Where was bashite yesterday. Tukio lilipotokea
 
 
Mimi ni miongoni mwa watu walioguswa mno na kupigwa risasi kwa Mh Tundu Lissu,kuna mwizi alivamia nyumba yangu nilimkamata kwa kushirikiana na majirani.Baada ya kupata habari za kupigwa risasi kwa Tundu Lissu nilijiic kufa gani na kwa kuwa alichoiba ni mali yangu nilijikuta siangaiki naye tena..Inauma sana mungu hakika atamponya.
 
Pole mkuu, tuzidi kumwombea TL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…