Soma comments zake zingine utalia kabisa
Pole sana lissu
Tena ukitaka uwe na raha uwe ccm utafurahia lakin ukiwa upinzani utawindwa kama nin,,kwanini wasifute vyama vya upinzania wakabaki wao,,kuliko kua na vyama upinzani kinafiki huku hawataki kuambiwa wala kukosolewaKwel nimeamini hakuna kazi ya hatar kama uanasiasa,bora Mtu akawa Jambaz sugu atasalimika,lakini uanasiasa mpaka ujitoe kwel kwel tena kwa maslahi ya Nchi,lakini hapo hapo unakuwa umegusa maslahi ya wachache,tofauti na hapo unakuwa mwanasiasa mnafiki na usiyekuwa na msimamo kama bendera kufuata upepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
sikuzoom mkuuNimehesabu ziko 18
Ndio nchi yetu imefikia hukoInatisha sana,pamoja na ushabiki wa vyama nadhani ilikua haijafika huko..
Mbunge wa Rombo ndugu Joseph Selasini amesema kuwa hali ya mbunge mwenzake Tundu Lissu inaendelea vizuri baada ya kupigwa risasi mguuni, mkononi na tumboni. Daktari amethibitisha.
Lissu ameshambuliwa kwa risasi mapema leo na watu wasiojulikana.
hayo matundu ya risasi hapo kwenye kioo..hayapo usawa wa tumbo wala miguu[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Unafikiri na mimi ninakuelewa?
Hivi hiyo image inayoonekana kwenye hilo gari ndio mfyatua risasi au ndio alikuwa akitoa maelekezo au tundu alishuka salama baada ya shambulizi au ni nani?Nimehesabu ziko 18