Hizo foreskin zimeshachafua juice tayari bora tu ninywe azam yangu ya baridi
Heheee... You really need to remove the foreskin in your brain. Nowonder the whole Nation is just asleep.... Hata Giza inaweza kuongoza hilo taifa lenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo foreskin zimeshachafua juice tayari bora tu ninywe azam yangu ya baridi
Mkuu Moshi ipo mwishoni huko, mji hauna watu huoAchana na Wikipedia kijana...
Dar, mwanza, Arusha,Mbeya,Tanga, Morogoro, Dodoma, Moshi nk. .....tuulize sisi tunaoifahamu iyo miji vizuri Wikipedia kitu gani
Unahara sana unahitaji antibiotic na maji upone
Huwa inasaidia kuitangaza na kuifahamu hii Miji na maendeleo yake na fursa zilizopo..Hivi huu ubushi wa miji huwa unasaidia nini?
Anyway JF inafanya Kiswahili cha Wakenya kinakua.
Huwa inasaidia kuitangaza na kuifahamu hii Miji na maendeleo yake na fursa zilizopo..
Kwa mfano, hizo juices murua na wines za Thika na Dodoma huenda hata wewe hukuzijua, but now tumejua kuwa Dodoma and thika lands can grow grapes
Watu wengi hawajasafiri, binafsi Mimi nimeijua miji mingi ya Kenya kupitia hili jukwaa,
Na pia wachangiaji wa nyuzi hizi tunaburudika kwa challenges na vijembe murua. Na wakenya wanafahamu kiswahili kama ulivyosema.
We will keep comparing everything, I mean each and everything , !
HaikubalikiThika Hoiyee!
[emoji817]Huwa inasaidia kuitangaza na kuifahamu hii Miji na maendeleo yake na fursa zilizopo..
Kwa mfano, hizo juices murua na wines za Thika na Dodoma huenda hata wewe hukuzijua, but now tumejua kuwa Dodoma and thika lands can grow grapes
Watu wengi hawajasafiri, binafsi Mimi nimeijua miji mingi ya Kenya kupitia hili jukwaa,
Na pia wachangiaji wa nyuzi hizi tunaburudika kwa challenges na vijembe murua. Na wakenya wanafahamu kiswahili kama ulivyosema.
We will keep comparing everything, I mean each and everything , !
Uzi ni zika vs Dodoma.
But honesty speaking, did u see Dodoma things??
Mbona unasema Zika? Ni madharau unayoleta hapa ama vipi?Uzi ni zika vs Dodoma.
But honesty speaking, did u see Dodoma things??