Naibu Waziri anasema sekta ya Utalii haitaathirika? Kwasababu ya mikataba iliyopo? Duh basi sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwake anaona kiki,kumbe keshamalizwa kisiasaMwacheni Makonda wa watu
We Ujaona wametishia kumuuwa nyepesi kwao kuwanyima watu haki ya kuishi ni jadi yao
BASHITE MWENYEWE GENDER YAKE HAI ELEWEKIAcheni upumbavu nyie! Nani kasema kazuiwa sababu ya ushoga? US wamesema ni mtu anayejihusisha pamoja na mengine ni uuaji.
Mtu muuaji ana haja ya kurembaremba? Huyo alistahili hata kushushwa pale Kariakoo na kumpigia kelele jambaziii apigwe mawe hadi afe.
Halafu nyie mnaletaleta vineno vya ushoga? Mbona kwanza kuna maneno yanafikirisha kuhusu Tania zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni malezi sio elimu,mugabe,kamuzu banda,savimbi walizitumia elimu zao kama silaha za kuharibu nchi zao
Ccm wanakawaida ya kupindisha mambo kuyatafsiri mambo kinyumeAcheni upumbavu nyie! Nani kasema kazuiwa sababu ya ushoga? US wamesema ni mtu anayejihusisha pamoja na mengine ni uuaji.
Mtu muuaji ana haja ya kurembaremba? Huyo alistahili hata kushushwa pale Kariakoo na kumpigia kelele jambaziii apigwe mawe hadi afe.
Halafu nyie mnaletaleta vineno vya ushoga? Mbona kwanza kuna maneno yanafikirisha kuhusu Tania zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshamba mpe ukubwaRC hoyee yaani kajulikana na marekani huku Samata akijulikana UK .Tanzania tuko juuuu
Eti! Tume ya nini wakati nchi ni yenu mna hiari ya kuua au kuhuisha?Msigwa naye tume ya nini sasa!
Aendelee tu kunyima watu maisha, "Deny the people right to life". Wewe una akili kweli.Mwacheni Makonda wa watu
wanamuogopa ...wanazunguka mbuyu ..kama kweli wanaume waongee facts zenyewe
shame to USA, Mwacheni Makonda afanye kaziPaul Makonda msukuma wa Kolomije anawatikisa taifa Kubwa Marekani na kupoteza muda wao kumjadili.
Shame on USAView attachment 1346371
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ache uoga kama ni kufa tumekufa sana Africa na hao mabeberu, sasa tunatakiwa kujitambua waafrika tusitawaliwe tena na watu wanaotutaka tuwe mashogaHakuna aliye shindana na Marekani akawa salama huyo Kanyasu asitafute umaarufu wa kirofa bagamoyo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelezwa kuwa Magufuli kampa mamlaka ya kuchomoa roho za watanzanaia asowapenda.Mawaziri wanamuogopa Makonda!
wew
wewe ache uoga kama ni kufa tumekufa sana Africa na hao mabeberu, sasa tunatakiwa kujitambua waafrika tusitawaliwe tena na watu wanaotutaka tuwe mashoga