Daa kweli! si aliwekewa vikwazo na vyombo vya habari? mbona tena haya?
Ningekuwa mimi Makonda ningejidai sana, tena sasa ndiyo ningekwenda ki Mafia kupitia mpaka wa Mexico, si hawanijui na sijawahi kuota kwenda? hata wakinikamata watanifanya nini?
LKN Mbona wanamuogopa Jiwe sana?