A
Anonymous
Guest
Habari JamiiForums, mimi ni mkazi wa Dodoma, Makulu Oysterbay mtaa unaitwa Mapinduzi. Ni miezi miwili sasa maji hajawahi kutoka hata tone maji na hamna taarifa yoyote wala tahadhari na ni hali ambayo imekuwa inatokea mara kwa mara bila maelezo yoyote.
Tumeshafika kwenye ofisi za wahusika na kulalamika lakini hamna kilichobadilika mpaka hivi sasa.
Tunaomba JamiiForums mtusaidie kuchapisha taarifa wakazi wa Mapinduzi tunaomba mamlaka nyingine kuingilia na kuiwajibisha DUWASA kwa uzembe huu hasa hasa ofisi za Waziri wa Maji.
Mwisho naambatanisha nyaraka zote ambazo suala hili limekuwa likifuatiliwa tokea mara ya mwisho maji kutoka ambapo ilikua kati ya september 8-10 hivi
Tumeshafika kwenye ofisi za wahusika na kulalamika lakini hamna kilichobadilika mpaka hivi sasa.
Tunaomba JamiiForums mtusaidie kuchapisha taarifa wakazi wa Mapinduzi tunaomba mamlaka nyingine kuingilia na kuiwajibisha DUWASA kwa uzembe huu hasa hasa ofisi za Waziri wa Maji.
Mwisho naambatanisha nyaraka zote ambazo suala hili limekuwa likifuatiliwa tokea mara ya mwisho maji kutoka ambapo ilikua kati ya september 8-10 hivi