Dodoma watengenezewe beach artificial

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu.

Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi ili kuongeza ajira na uwekezaji hapo Dodoma..inawezekana kabisa maendeleo hayo.
 

Attachments

  • FB_IMG_1720835005392.jpg
    64.1 KB · Views: 5
Fursa mlizonazo kuna nchi duniani hawana hata moja zaidi ya ardhi tu bila maji

Nyie mna Mito hamjui ina faida gani kwenu, mna maziwa ambayo vvyanzo vya vipato hata hamuwezi kulisha watoto 1000
Bahari hiyo na bandari

Ni wazo zuri ila sio kwa sisi tusiojua maana ya maji na faida zake

Thailand wana floating market nimeiona watu wanafanya biashara za mboga na matunda kwenye mto
Nyie mito sijui hata kama itakuja kuwapa faida
 
Dodoma maji watapata wapi? ujue kuna shida kubwa ya maji kwa ajili ya matumizi ya binadamu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…