Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Akumbuke tu huo ndo mji ulioweka historia ya uhai wake, ikibidi atembelee eneo la tukio kutoa sadaka na aende hospitaliya mkoa kuwashukuru madaktari na manesi, zaidi ya yote awe MAKINI.
Huyo jamaa anadai eti mwilini mwake kuna damu ya wakenya waliomuokoa na kifo. Damu anayoitambua na hospitali anazozitambua ni za Kenya na Ubelgiji tu.
Kwa watanzania anataka Urais tu.
 
Kesho tutakaza macho kuona itifaki, taratibu, kanuni, sheria na mazowea ya Tume ya Uchaguzi yatakuwa yaleyale kwa CHADEMA mjini Dodoma kama ilivyokuwa kwa mwenyekiti wa CCM ambaye ni mtia nia Urais aliyowasili ktk Ofisi ya Tume kuchukua fomu

Tujikumbushe jinsi Tume ya Uchaguzi walichofanya kwa Magufuli jana :

 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mimi huwa napenda haya mafuriko na mbwembwe.
 
mda sio mrefu utaskia tundu lissu mabadiliko, mabadiliko tundu lissu
 
Hahaaa mtapata kazi sana mwaka huu kwa sababu lissu Ni mropokaji
Lissu hawezi kutofautisha maneno Kati ya kuongea na press,hadhara,bungeni au mahakamani yeye anarusha tu
Wiki ya kwanza tu ya kampeni mtajuta kumchagua lissu,mtamkumbuka Nyalandu
Kama kuna kitu ccm mmechukia ni Lissu kuteuliwa kugombea urais, yaani basi tu mnashindwa mfanye nini nafikiri hata kwenye mizani lazima mpungue.
 
Acha kuweweseka ujinga wowote atakaozungumza lisu hautazidi makauli ya hovyo ya jiwe tunayoyasikia kila kukicha
 
Umesema yote
Thanks!
Chadema uongozi - mwenye masikio asikie haya
Tundu Lissu anahitaji msaada wa ushauri nini cha kusema nini cha kuepuka
Ajaribu kufocus na kuiongoza Tz na kubadili muelekeo
Mengineyo yatafuata baada ya kitimutimu hapo October 2020 Mwanahabari Huru
 
Kesho ndiyo utajua ni Nini maana ya Nguvu ya umma na kwanini Lissu ni kipenzi Cha Watanzania
Kwa nini mtengeneze mazingira ya uwepo wa nguvu ya umma?.Mgombea wa ACt-Wazalendo kachukua Fomu kwa utulivu ule ule wa jana.Fanyeni masihara,mtajikuta mnawaangalia Magufuli na Membe wakipishana kwenye majimbo huku nyie mkiwa watazamaji.
 
Hahahaha chadema bhana Kama mazuzu kesho Hakuna kaz n Sikukuu ya nane nane na pia na nyie mnaowaza lisu kushinda uchaguz huu inabid mpimwe mkojo
 
Hahahaha chadema bhana Kama mazuzu kesho Hakuna kaz n Sikukuu ya nane nane na pia na nyie mnaowaza lisu kushinda uchaguz huu inabid mpimwe mkojo
Kajifunze Kiswahili kwanza ndiyo urudi hapa
 
Kwa nini mtengeneze mazingira ya uwepo wa nguvu ya umma?.Mgombea wa ACt-Wazalendo kachukua Fomu kwa utulivu ule ule wa jana.Fanyeni masihara,mtajikuta mnawaangalia Magufuli na Membe wakipishana kwenye majimbo huku nyie mkiwa watazamaji.
Jaribuni muone
 
Huyo jamaa anadai eti mwilini mwake kuna damu ya wakenya waliomuokoa na kifo. Damu anayoitambua na hospitali anazozitambua ni za Kenya na Ubelgiji tu.
Kwa watanzania anataka Urais tu.
Ucha uongo na porojo.Acha Fitna na uzushi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…