Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Mkuu mategemea kura za lia lia,mlimshambulia ili aje kupata urais wa huduma,kwani kwa mwaka ni watu wangapi wanakufa kwa kushambuliwa hadi kuwe na haja ya.kumchagua lissu ili arekeshe mfumo?
Comments reserved
 
Siyo kweli...Enzi hizo kulikuwa na Uhuru wa habari
 
Aminini msiamini lissu hatoweza kupata kura hata 1000 kutoka mikoa ya kanda ya ziwa na kanda ya kati.
Hayo ni maoni yako.Uhuru wako wakutoa maoni unalindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…