Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Comments reservedMkuu mategemea kura za lia lia,mlimshambulia ili aje kupata urais wa huduma,kwani kwa mwaka ni watu wangapi wanakufa kwa kushambuliwa hadi kuwe na haja ya.kumchagua lissu ili arekeshe mfumo?
Siyo kweli...Enzi hizo kulikuwa na Uhuru wa habariChadema waliobaki walidhani zile rusha hewani Kila tukio la Lowasa hata akicheka wanadhani ilikuwa bure!!!
Wakiandikwa kipindi kile Kila gazeti walidhani kuwa media zilikuwa zikitangaza bure .!!! Airtime ilikuwa inanunuliwa na kurasa za magazeti kulipiwa haikuwa bure
#Niyeye2020Lissu tayari amechukua fomu, iko hivyo.
Hayo ni maoni yako.Uhuru wako wakutoa maoni unalindwaAminini msiamini lissu hatoweza kupata kura hata 1000 kutoka mikoa ya kanda ya ziwa na kanda ya kati.
Ukikuwepo Uhuru wa kutoa habari Baada ya kulipiwa haukuwa bure!!Siyo kweli...Enzi hizo kulikuwa na Uhuru wa habari
Hueleweki unataka kusema niniUkikuwepo Uhuru wa kutoa habari Baada ya kulipiwa haukuwa bure!!
Jomba vipi? Mahawara wa Mzee wanasemaje kwani?Dodoma ilizizima?
Watu humu hudhani uongozi wa nchi ni sawa na kuongoza kamati ya sendoffUmenena vema mkuu, kuna watu watu wanafananisha mkuu wa nchi na vitu vya ajabu.
signs za ubongo mgandoWatu humu hudhani uongozi wa nchi ni sawa na kuongoza kamati ya sendoff