Does Africa have its own (unique) definition of democracy?

Does Africa have its own (unique) definition of democracy?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
15,892
Reaction score
16,476
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Does Africa have its own (unique) definition of democracy?

Je, Afrika ina tafsiri yake binafsi (ya kipekee) ya neno demokrasia?

Kagame.jpg


Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, nimepokea ujumbe huu kutokwa kwa mtoto wa ndugu yangu analiyezaliwa na kuishi huko huko Ulaya (Uholanzi) na hajawaji kukanyaga huku Tanzania (Africa). Huyu dogo ana miaka 15, kama angekuwa huku Tanzania let's say labda angekuwa form II?

Just imagine wewe ndio Infantry Soldier, ungewezaje kumjibu huyu mtoto wa ndugu yako?

PUMZIKA KWA AMANI MZEE MKAPA. VITA UMEIPIGANA NA MWENDO UMEUMALIZA BABA YETU. MUNGU AKUPE PEPO ILIYO NJEMA MZALENDO MWENZANGU.

Mkapa.jpg


OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Ninaweza kusema NDIO na HAPANA kwa wakati mmoja. Wazungu wasilazimishe utaratibu wa siasa zao ndio iwe desturi yetu.

Afrika tuna siasa zete zinazofanana na sisi, maisha pamoja na mazingira yetu.

Democracy ya mzungu ndio inaua wanawake na watoto huko Iraq, Afghanistan, Libya na Syria.
 
Tafsiri ya Demokrasia ni MOJA TU mahali kokote kule ama popote pale na wakati wote.

Tofauti na hapo, ni kitu kingine kabisa.
Mkuu, kwa hiyo una maanisha "Africa doesn't has its own (unique) definition of democracy" but follows the generally-accepted one? Au sio?
 
Mkuu, kwa hiyo una maanisha "Africa doesn't has its own (unique) definition of democracy" but follows the generally-accepted one? Au sio?
Ndio, kwa maana ya kwamba, uwepo wa Demokrasia barani Afrika unatokana ama utatokana na hiyo tafsiri MOJA TU iliyopo mahali kokote kule ama popote pale na wakati wote ambayo kwa hiyo ama kwayo tunaweza kuihakikisha kuwa ipo.

Kuhusu uwepo wa hiyo Demokrasia barani Afrika ni jambo jingine ama mjadala mwingine.
 
Du
Tafsiri ya Demokrasia ni MOJA TU mahali kokote kule ama popote pale na wakati wote.

Tofauti na hapo, ni kitu kingine kabisa.
Dunia ya sasa imeisha- prove wrong dhana hiyo mkuu. Hivyo unavyo itasfiri wewe, yule au mimi si lazima iwe sawa. Kwani tafsili Ile haikuwa ' law' bali ilikuwa 'principal' tu.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Does Africa has its own (unique) definition of democracy?

View attachment 1516346

Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, nimepokea ujumbe huu kutokwa kwa mtoto wa ndugu yangu analiyezaliwa na kuishi huko huko Ulaya (Uholanzi) na hajawaji kukanyaga huku Tanzania (Africa). Huyu dogo ana miaka 15, kama angekuwa huku Tanzania let's say labda angekuwa form II?

Just imagine wewe ndio Infantry Soldier, ungewezaje kumjibu huyu mtoto wa ndugu yako?

PUMZIKA KWA AMANI MZEE MKAPA. VITA UMEIPIGANA NA MWENDO UMEUMALIZA BABA YETU. MUNGU AKUPE PEPO ILIYO NJEMA MZALENDO MWENZANGU.

View attachment 1516337

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hatuwezi kuwa definition yetu ya democracy kwa kuwa hili neno lenyewe tumeletewa na hao wazungu wakaleta na definition yao

Kwa kifupi wametupangia maisha kutoka wakati walipo Anza kututawala


Wakati huo ndio walivyo haribu kabisa mfumo wote wa kuendesha maisha kwa hapa Africa toka kwenye politics mpaka education system na aspects zingine zote za maisha yetu
 
Du

Dunia ya sasa imeisha- prove wrong dhana hiyo mkuu. Hivyo unavyo itasfiri wewe, yule au mimi si lazima iwe sawa. Kwani tafsili Ile haikuwa ' law' bali ilikuwa 'principal' tu.
Huo utofauti wa kuitafsiri Demokrasia ni makosa yanayofanywa na watu kwa kujua ama kwa kutokujua.

Si sahihi kabisa kwa kitu chenye tafsiri MOJA inayoeleweka kutafsiriwa tofauti na tafsiri yake inayopaswa kuwa.

Iweje utengeneze kitu kingine tofauti na ukipe tafsiri ya 'Demokrasia'? Kwanini usikipe kitu hicho tafsiri ya kuendana na jinsi kitu hicho kilivyo?
 
Huo utofauti wa kuitafsiri Demokrasia ni makosa yanayofanywa na watu kwa kujua ama kwa kutokujua.

Si sahihi kabisa kwa kitu chenye tafsiri MOJA inayoeleweka kutafsiriwa tofauti na tafsiri yake inayopaswa kuwa.

Iweje utengeneze kitu kingine tofauti na ukipe tafsiri ya 'Demokrasia'? Kwanini usikipe kitu hicho tafsiri ya kuendana na jinsi kitu hicho kilivyo?
Suala linalohitaji mjadala mpana unalijibu kiurahisi rahisi na unahitimisha unachokijua ndiyo jibu.
 
Suala linalohitaji mjadala mpana unalijibu kiurahisi rahisi na unahitimisha unachokijua ndiyo jibu.
Hebu nawe ndugu lijibu suala hilo 'kiugumu ugumu' kupitia huo "mjadala mpana" kisha hitimisha kile unachokijua.

Asante.
 
Hebu nawe ndugu lijibu suala hilo 'kiugumu ugumu' kupitia huo "mjadala mpana" kisha hitimisha kile unachokijua.

Asante.
Siwezi kufanya hivyo maana najua ninachochangia.

Nitakachoweza ni kutoa maoni tu. Sio kuhitimisha mjadala.


Hakuna mjadala kwenye uzi...naona wachangiaji wakibishana tu.
 
Bwana Infantry Soldier,

Demokrasia kama nadharia na kanuni ya kiutawala husisitiza kwamba uhalali wa utawala wowote ule duniani ni lazima utoke kwa wananchi na siyo vinginevyo, pia uhalali wa utawala ni lazima ulenge katika kuwafanya hawa wananchi wapate maendeleo. Hapa unaweza ukawa na mfumo wa aina yoyote ile, aidha Ufalme (A Monarchy), Udini (A Theocracy) au Jamhuri (A Republic) muhimu kabisa ni kwamba lazima nguvu itoke kwa wananchi na siyo vinginevyo.

Watawala lazima watawale kwa matakwa ya wananchi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa baina ya watawala na watawaliwa. Watawala hawatakiwi kufanya jambo lolote lile ambalo litaathiri mustakabali wa wananchi bila wananchi kuhusishwa. Wakijiamulia tu mambo, tena ambayo yanaumiza watawaliwa basi uhalali wao wa kutawala unapotea.

Wanafalsafa wa kale kama John Locke, Thomas Hobbes na Jean-Jacques Rousseau walizungumzia kitu kiitwacho The Social Contract ambapo walisema mataifa hutengenezwa kwa makubaliano baina ya watawala na watawaliwa. Pindi watawala wanavunja hayo makubaliano na kujiamulia kufanya jambo ambalo litawadhuru wananchi wao basi wanapoteza uhalali.

Nakubaliana na Mzee Nyerere kwamba kila sehemu ina Demokrasia yake, japo lazima tukubali kwamba tunaweza kutoa tafsiri mbalimbali za demokrasia na tusiwe na tafsiri moja kuhusu demokrasia. Lakini nachelea kusema kwamba lengo la demokrasia ni moja tu duniani kote, kwenye mifumo yote ya utawala nalo ni "KUHAKIKISHA NCHI INAWALIWA KWA KUFUATA MATAKWA YA WATAWALIWA"

Hivyo basi naweza kumaliza kwa lugha ya kiingereza kwa kusema haya yafuatayo "Democracy as a value does not have a single accepted Universal definition. We can only define Democracy well through a Purposive Approach of what democracy aims to achieve within a particular society. And that is Ensuring the power to rule is derived from the people for their benefit: Suffice to say it, such benefit should always be just, moral and equitable"

NB: Tusijitie moyo, katika hili wenzetu wazungu pamoja na Ubepari wao wametushinda mbali sana. Kitendo cha kutawala kwa kufuata miiko ya kisheria kwa manufaa ya wananchi ndicho kimewafanya wafike hapa walipo leo: Sisi Afrika hata Katiba kuheshimu ni shida, utasemaje kwamba tuna demokrasia yetu ???
Ninaona umeamua kuandika kitabu kizima. hakika wewe ni noma.
 
Back
Top Bottom