Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,619
sio jioni tu hakikisha anakula vizuri siku nzima! ujue miezi sita mtoto ameongezeka pia na capacity yake ya kula inaongezeka,,,at least kila baada ya masaa 2 mpige misosi !ntazingatia hilo la mlo hasa wa jioni