The Most Winner
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 733
- 960
Anza kwanza wewe sinimeulizwa acha kiherehere cha kudandia train kwa mbele wewe.Nenda manzese wenzio wana canfanya biashara hazaran hum unafanya nn hadi utuambie kabila
🙆🏽♂️🙆🏽♂️Dogo naye alikuwa anajitafutia shida. HIVI UNAWEZA KWENDA HAPO FERI UKAKUTA MATATIZO YANAELEA BAHARINI YAMELETWA NA MAWIMBI KUTOKA KUSIKOJULIKANA NA HAYANA UELEKEO UKAZOA NA KUPELEKA NYUMBANI UKASEMA UMEPATA?
Af kiwe kiliumuliwa muda mrefuHalivutii kabisa... Ni kama kitumbua kilichomiminwa vibaya kikaangoni
Af mshana!!.Halivutii kabisa... Ni kama kitumbua kilichomiminwa vibaya kikaangoni
Nuh mziwanda na benpaul kama sikoseiImma imma imma take you to Dubai...
I'll take you to Dubai...
Imma imma take you to Dubai..
I'll take you to Dubai..
Kuna waatu na viatuuu...
Nani anaujua wimbo huo?
Usifanye mchezo na maraha ya Dubai hahahaha.
Ila Dogo Janja kashajiwekea CV kwa Uwoya hapo daima atakuwa mtalaka wake.
Wakubwa washaelewaNa wewe ulishapita naye tayari
Mjomba mkono wa nyani ndio upi huo?Dah Dogo atakufa kweli na vile alikuwa amezoea kulelewa na like jimama afu limemuachia na mkono Wa nyan kama lilivyofanya kwa yule mrwanda
hahaaa mkono wa nyani ndio nini ""??Dah Dogo atakufa kweli na vile alikuwa amezoea kulelewa na like jimama afu limemuachia na mkono Wa nyan kama lilivyofanya kwa yule mrwanda
Aisee " hawakawiii wale maana kick ndio shibe kwaoWa bongo bana mmejaa ujinga Wa kiwango cha standard gauge.
Hiyo ni kiki Dogo janja na mwenzake wanawapima tu mnavyotokwa mapovu
😂😂aisee angekuwa na uwezo wa kuiona hii comment angetapika mno!!Halivutii kabisa... Ni kama kitumbua kilichomiminwa vibaya kikaangoni
Hakuna taifa lenye watu wenye IQ ndogo kama TanzaniaAisee " hawakawiii wale maana kick ndio shibe kwao
hahaha " niujinga tu "... tangia lini ukashauriwa umpende Malaya "...tena hayo mapakaBora kula kwa macho,ukikumbuka zile mbinuko zake na tako lazima uwe kichaa